Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Jamaa wamekikamata chama haku kitu kitatokea ni mwendo wa manyanyaso mpaka mwishoNa wana mpango wa kuhold bei hivyo hivyo mpaka February 😅 ili kule ikipanda waendelee nayo 😂!
Cha ajabu bei ikipanda sokoni changes ni instant wala hawasubirii mzigo uishe unaanza kuuzwa bei juu hapo hapo😅 hata kama ulinunuliwa bei chini!
Ila bei ikishuka sokoni wana hold bei ya awali mpaka mzigo uishe.
Bei haishuki angalia trend bei zilikuwa chini wakati wa corona je uliona diesel imeshuka chini ya 2000? leo brent karibia 70$ pipa wakati wa corona ilifika 35$ na wametoa forecast mafuta 2022 yatafika 120$ na 2023 150$.Mbona bei kwenye soko la dunia inazidi kushuka lakini Tz inapanda?
Tanzania tumeingia kwenye mikono ya mama wa kambo😅 yani kipigo tu kuanzia kwa mama mpaka kaka wa kambo bwana February Marope wanatunyoosha😅Jamaa wamekikamata chama haku kitu kitatokea ni mwendo wa manyanyaso mpaka mwisho
Mbona kule kwao Zanzibar vitu havipandi? anatuhujumu sn bibi ushungiTanzania tumeingia kwenye mikono ya mama wa kambo😅 yani kipigo tu kuanzia kwa mama mpaka kaka wa kambo bwana February Marope wanatunyoosha😅
Kadanganye wajinga wenzakoBei haishuki angalia trend bei zilikuwa chini wakati wa corona je uliona diesel imeshuka chini ya 2000? leo brent karibia 70$ pipa wakati wa corona ilifika 35$ na wametoa forecast mafuta 2022 yatafika 120$ na 2023 150$.
Wanatufanyia madhila huyu mama na wenzie😅Mbona kule kwao Zanzibar vitu havipandi? anatuhujumu sn bibi ushungi
Zanzibar kila kitu kipo chini na wakati vitu vinatoka bara, tumeshamchoka aondoke harakaWanatufanyia madhila huyu mama na wenzie😅
Wanasema eti anaonewa wivu 😅Tulishawaambia huyo dogo ni mwizi hamataki kuelewa
Nyie misukule ya magufuli mna chuki sana Makamba jrFicha ujinga wako. Jibu hoja kwani makamba hakutangaza bei ya mafuta kushuka mwezi 12?
Hakusema ziara yake nchi za emirates na Algeria zitaondoa middlemen katika uagizaji mafuta?
Acha siasa kwenye maisha ya watu ya watanzania. This government is failing kama haitaregulate mfumuko huu wa bei za vitu.
Wanasiasa wao wanaogelea kwenye michongo yao huku wakiyafanya maisha ya watanzania kuwa magumu.
We are people on the ground and we are the same people who feels this heavy weight of bureaucracy.
And stupid tooThat guy is a wastage of time
Makamba ni mkosi wa taifaMakamba anasakamwa sana na kundi lililoondolewa hasa yule mbunge wa kule kwa jiwe
Samahani inawezekana kweli nikawa mjinga labda sikusikia vizuri kuwa Ewura wamashusha bei. Kuwa mjinga ni afadhali ya kuwa mpumbavu.Kadanganye wajinga wenzako
Vyote anavyo dingi akoSamahani inawezekana kweli nikawa mjinga labda sikusikia vizuri kuwa Ewura wamashusha bei. Kuwa mjinga ni afadhali ya kuwa mpumbavu.
A report written by Christyan Malek, J.P. Morgan's head of oil and gas research, said the price of oil could go up to $125 next year. The J.P. Morgan analysis was published on Nov. 29 and is predicting crude prices will average $88 per barrel in 2022 before “overshooting” to the $125 price point.2 days agoVyote anavyo dingi ako
Baba yako mimi namuheshimu na siwezi kumtukana maana hana kosa lolote wewe toa data tu na facts kama unazo hapa ni hoja tu matusi hayana nafasi. ukiona mtu anakimbilia mawe ujuwe anaelekea kushindwaVyote anavyo dingi ako
Kwa hiyo yanapanda Tz pekee ila Kenya, Uganda, Zambia, Zanzibar n.k ambako wanapitia bandari ya Dar wao wanachukulia mbinguni? achana na mawazo ya kujinga eti lugha hujui hata kama kuna google translate mpuuzi weweA report written by Christyan Malek, J.P. Morgan's head of oil and gas research, said the price of oil could go up to $125 next year. The J.P. Morgan analysis was published on Nov. 29 and is predicting crude prices will average $88 per barrel in 2022 before “overshooting” to the $125 price point.2 days ago
Kama lugha inakupa shida tafuta mtu akusomee kwa lugha yako
Ulichoandika ni point?Baba yako mimi namuheshimu na siwezi kumtukana maana hana kosa lolote wewe toa data tu na facts kama unazo hapa ni hoja tu matusi hayana nafasi. ukiona mtu anakimbilia mawe ujuwe anaelekea kushindwa
Ndugu zangu,
Miezi ya hivi karibuni Waziri Makamba alitembelea nchi za ghuba zinazoongoza kwa uzalishaji wa mafuta ulimwenguni.Baada ya kurejea alituhakikishia kuwa mwezi Disemba mwaka huu mafuta yatashuka bei kwani kafaniiiwa kuwashawishi wazalishaji ili Tanzania kupitia TPDC inunue mafuta moja kwa moja kwa wazalishaj na sio kwa watu wa kati.Utaratibu huu ungepunguza bei ya mafuta.
Je, nini kinaendelea?ni kweli kuna makubaliano ya TPDC kununua mafuta moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji?