Ziara za Rais Samia Kusini ni kupima Msuli wa Waziri Mkuu Majaliwa nyumbani kwake

Ziara za Rais Samia Kusini ni kupima Msuli wa Waziri Mkuu Majaliwa nyumbani kwake

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
743
Reaction score
1,839
Wanasiasa wote hususan viongozi wanapoanza kuwashughulikia wenzao huwa wanawafanyia jambo kubwa la kuwakera halafu wanaenda kufanya ziara kwenye maeneo yao ili kupima msuli wao dhidi yao.

Ni kama vile mtu ampige mkeo kibao halafu anakuja kwako kuona wewe na wanao mtafanyaje. Kwa wanasiasa wajanja huwa wanahakikisha wanajenga ngome kwao ili ukimgusa usiweze kufika kwao.

Alifanya Chacha Wangwe, mtikila akatandikwa mawe, akafanya Zitto Kabwe Kigoma Chadema wakashindwa kumfukuza na walipomfukuza wakapoteza majimbo yote Kigoma.

Mama ameamua kujipima mzani na Majaliwa baada ya kumpa Naibu Waziri Mkuu. Anataka kuona Msuli wa Majaliwa huko kusini. Akigundua ni mwepesi fasta anamla kichwa
 
Acha uongo, Kigoma gani ambayo CHADEMA ilipoteza majimbo yote? Uchaguzi wa 2015 ACT wakipata Jimbo moja na CHADEMA Jimbo moja usiwe muongo.
 
Huyo Mama Yenu ni mwepesi kama TP kwa PM
 
ulichoandika hakieleweki na hujui chochote kuhusu siasa za kusini. Kwa hiyo na huko mtwara nako alikuwa anapima nguvu za majaliwa?
 
Back
Top Bottom