Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Akihutubia wakati wa maonesho ya Dubai Expo 2020 mjini Dubai, tarehe 26 Februari 2022, Rais Samia Suluhu Hassan aliwakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara nchini.
Matokeo
Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimefanikiwa kusajili jumla ya miradi 575 ambayo ilikadiriwa kuwekeza kiasi cha mtaji wa Dola za Marekani bilioni 8,642.75 na kutoa jumla ya ajira 87,187.
👉Miradi ya nje- 235
👉Miradi ya ndani- 187
👉Miradi ya ubia- 157
Matokeo
Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimefanikiwa kusajili jumla ya miradi 575 ambayo ilikadiriwa kuwekeza kiasi cha mtaji wa Dola za Marekani bilioni 8,642.75 na kutoa jumla ya ajira 87,187.
👉Miradi ya nje- 235
👉Miradi ya ndani- 187
👉Miradi ya ubia- 157