mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Real Madrid policy zao ni za kikampuni wao wanahitaji ku deliver no matter how much you spend
Hamna asietambua kua sasa hivi Madrid despite mataji yote waliyochukua mwaka 2016-17 na hadi mwisho wa 2017 na kuweza kuvunja record ya kuchukua UCL mara mbili mfululizo tangu uanzishwe mfumo mpya1992
Team ina tatizo tena kubwa sana la ufundi (technical problem) imefika kipindi Zizzou hajui tatizo ni nini kwa sababu wachezaji ni wale wale na mifumo yake ya kizamani ni ile ile ,simply hapa maana yake Kocha ndio una tatizo despite the aging ya kikosi chake inayo face
Tatizo linawapa wakati mgumu Papa Perez na top management wakimtimua wataonekana hawana shukrani na wakimuacha kuna hatari akaharibu legacy ya Madrid wanagombea nafasi ya 4 Laliga na bado imekua ngumu kuipata so inawezekana kabisa Madrid next season isicheze [emoji23][emoji23](sio mimi ni namba)
Sasa je wamfukuze mtu ambaye amewaletea heshima ila hakufanya usajili?au wamuache jahazi liendelee kuzama eti kwa sababu tu amewaletea heshima?
Katika situation kama hiyo upo iwezekano mkubwa sana managememt wakafumba macho kwani ilikuaje kwa Carlos Ancelloti? (Madrid walikaa miaka 10 hawajapata Uefa akavunja laana za kutimuliwa Vicente del Bosco 2004 ,kalichukua next season kwa sababu ya performance mbaya akafukuzwa,au mmesahau Rafael Banitez?alifukuzwa katikati ya season
Au heshima yote ambayo aliwajengea Madrid miaka ya 2001-2004 (Golden team ya Vicent Del Bosco mbona alifukuzwa?
Ni suala la muda tu
Je imewahi kutokea Madrid na Barca wakatengeneza gap la point 18?
Siku za Zidane pamoja na mafanikio yote zinahesabika ili falsafa ya team itimie [emoji23][emoji23]
Hamna asietambua kua sasa hivi Madrid despite mataji yote waliyochukua mwaka 2016-17 na hadi mwisho wa 2017 na kuweza kuvunja record ya kuchukua UCL mara mbili mfululizo tangu uanzishwe mfumo mpya1992
Team ina tatizo tena kubwa sana la ufundi (technical problem) imefika kipindi Zizzou hajui tatizo ni nini kwa sababu wachezaji ni wale wale na mifumo yake ya kizamani ni ile ile ,simply hapa maana yake Kocha ndio una tatizo despite the aging ya kikosi chake inayo face
Tatizo linawapa wakati mgumu Papa Perez na top management wakimtimua wataonekana hawana shukrani na wakimuacha kuna hatari akaharibu legacy ya Madrid wanagombea nafasi ya 4 Laliga na bado imekua ngumu kuipata so inawezekana kabisa Madrid next season isicheze [emoji23][emoji23](sio mimi ni namba)
Sasa je wamfukuze mtu ambaye amewaletea heshima ila hakufanya usajili?au wamuache jahazi liendelee kuzama eti kwa sababu tu amewaletea heshima?
Katika situation kama hiyo upo iwezekano mkubwa sana managememt wakafumba macho kwani ilikuaje kwa Carlos Ancelloti? (Madrid walikaa miaka 10 hawajapata Uefa akavunja laana za kutimuliwa Vicente del Bosco 2004 ,kalichukua next season kwa sababu ya performance mbaya akafukuzwa,au mmesahau Rafael Banitez?alifukuzwa katikati ya season
Au heshima yote ambayo aliwajengea Madrid miaka ya 2001-2004 (Golden team ya Vicent Del Bosco mbona alifukuzwa?
Ni suala la muda tu
Je imewahi kutokea Madrid na Barca wakatengeneza gap la point 18?
Siku za Zidane pamoja na mafanikio yote zinahesabika ili falsafa ya team itimie [emoji23][emoji23]