Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Conte tayari kashaanza kupigiwa debe na media ambazo zinanguvu kubwa. Ila uongozi umeshamchoka na wanachosubiri ni kipigo toka PSG wapate sababu za kumtimua.
Huyu atakuwepo mpaka mid february ndio taonyeshwa mlango wa kutokea.
Huyu atakuwepo mpaka mid february ndio taonyeshwa mlango wa kutokea.