Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Usahihi Conte ZIDANEConte tayari kashaanza kupigiwa debe na media ambazo zinanguvu kubwa. Ila uongozi umeshamchoka na wanachosubiri ni kipigo toka PSG wapate sababu za kumtimua.
Huyu atakuwepo mpaka mid february ndio taonyeshwa mlango wa kutokea.
Mimi mfuatiliaji sana wa taarifa za real na nina mambo niliyoyaona ni tatizo kwa zidane ,ambayo yatamuondoa pale.Madrid nadhani kinachowakuta sasa hivi hadi wasiperform ni Fatique..
Walitumia energy kubwa ktk kupigania trophies walizonazo so wanajikuta timu ni ile ile ila poor perfomance..Wachezaji hawana molary..
Kitu hiko kiliwakumba Barca ile ya Enrique iliyobeba Ucl...La Liga..Copa na Club bingwa dunia..msimu uliofata Barca hawakuperfom vema wachezaji walikuwa na fatique japo RM imezidi maana kila game wanazidi kuharibu
Kocha anayetajwa kuja pale kipindi cha summer ni Joackim L wa team ya taifa ya ujerumaniHakuna jinsi Madrid hua hawana uvumilivu zinane atafukuzwa th.
Nilimuwekea double chance anawin au kudroo...nikijua kwa kuwa sasa hivi hayuko vizuri basi atadroo..
Kumbe alivyo mshenzi kapigwa kabisa