Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Comparison ya Kipuuzi iyoXavi wasnt better than Zizou,ubora unaonekana hata ukihama timu moja kwenda timu nyingine.Xavi ameenda timu ipi nyingine akaproove bado ni bora?Diego folan kuna Man U alichemsha.Angalia Claude makelele hata alipohama Real kwenda Chelsea alifanya kazi yake ile ile.Zizou was the best!
Hapo naona unataka kutumia usemi wa numbers dont lie ila umesahau kuweka namba za tuzo hapo,lkn kuna mahali namba zibaki kuwa namba tu ili uhalisia uchukue nafasi yake
Zizu yupo kwenye daraja ambalo Xavi hagusi,Zizu ni mchezaji kama Messi ambaye anavutia kila mtu anavyocheza awapo uwanjani,Zizu ni kama Ronaldinho ambaye huperfom kwa kiwango cha juu ktk kila game,Zizu ni kama Christian Ronaldo ambaye tuzo pia hazikumwacha nyuma,na kwa sasa Zizu ni kama Sir Alex Ferguson ambaye kushinda vikombe ni kama ibada
Ulianza kuongea vizuri Ila ulipo anza kumlinganisha Na MESSI hapo ndo umepotea kabisa, Zizou hajafikia hata robo ya MeSSiHapo naona unataka kutumia usemi wa numbers dont lie ila umesahau kuweka namba za tuzo hapo,lkn kuna mahali namba zibaki kuwa namba tu ili uhalisia uchukue nafasi yake
Zizu yupo kwenye daraja ambalo Xavi hagusi,Zizu ni mchezaji kama Messi ambaye anavutia kila mtu anavyocheza awapo uwanjani,Zizu ni kama Ronaldinho ambaye huperfom kwa kiwango cha juu ktk kila game,Zizu ni kama Christian Ronaldo ambaye tuzo pia hazikumwacha nyuma,na kwa sasa Zizu ni kama Sir Alex Ferguson ambaye kushinda vikombe ni kama ibada
Ulianza kuongea vizuri Ila ulipo anza kumlinganisha Na MESSI hapo ndo umepotea kabisa, Zizou hajafikia hata robo ya MeSSi
Ubora wa zizzou Zaidi ya Xavi sijui una maananisha nini? Maana hizo statistics zinaonesha kuwa Xavi yupo juu ya Zidane.kwa messi ni mbali sana.. ila kwa Xavi.. zizzou ni bora sana na sana
swala la kuhama/kutokuhama ni pointless.Wangapi wamehama hama na hakuna kitu na wangapi wamebaki na timu moja na uwezo wao ulikuwa unakubalika dunia nzimaXavi wasnt better than Zizou,ubora unaonekana hata ukihama timu moja kwenda timu nyingine.Xavi ameenda timu ipi nyingine akaproove bado ni bora?Diego folan kuna Man U alichemsha.Angalia Claude makelele hata alipohama Real kwenda Chelsea alifanya kazi yake ile ile.Zizou was the best!