Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

Hakuna Statistics za maana zaidi ya hizo Pasi alizopiga...Simuoni kama super hero hapo Barcelona wala Spain japo ameupiga mpira mwingi...namuweka level moja na kina Schneider...Robben...Ribery...Rooney...Scholes etc.
Simuweki na kina Figo...Zidane...Ronaldo...Gaucho...Rivaldo etc
.
Umeua kaka... hawa facebook wameanza kufatilia mpira Rio Ferdinand ananyoa kipara hawawezi kumpata vzr Zizzou.
 
Asante ndugu.. Niseme nini tena
unataka namba?

-zidane ni mchezaji bora wa miaka 50 iliopita wa ulaya (xavi pia ni wa ulaya)

UEFA Golden Jubilee Poll - Wikipedia

-ana baloon d or moja xavi ana kibuyu

-fifa player of the year mara 3 xavi ana kibuyu

-kila fainali man of the match yeye (kasoro 2006 ambayo alimpiga mtu kichwa), na sio man of the match tu bali anakuwa mchezaji bora wa michuano. nikukumbushe

1. 1998 huyu jamaa aliwafunga brazil goli mbili fainali akawa mchezaji bora wa michuano na man of the match fainali

2. mwaka 2000 mchezaji bora michuano EUro

3. 2002 anakosekana ufaransa wanatoka makundi world cup

4. 2006 anarudi world cup ufaransa wanafika fainali, kama sio ile red walikuwa wanabeba tena na mwanaume anabeba tena uchezaji bora.

kwenye club hivyo hivyo mpaka leo goli lake la 2002 la fainali ni moja ya magoli bora kupata tokea
 
Zidane ashukuru Mungu amekwepa Era ya kina Messi....unless otherwise tungemsahau
Messi anacheza Era ya wachovu ndio unamtaja hapa... Hivi we unawajua waliocheza enzi ya Zidane au unataka kujuzwa?
Messi na C.Ronaldo ndio washindani tu miaka 10 Mfululizo .. Messi na Ronaldo ndio washukuru kukwepa era ya akina Zidane
 
mimi sina mambo ya kitoto kufananisha van de sir na ronaldo nani zaidi sababu wanacheza nafasi mbili tofauti.

Zidane ni midfield au ukipenda Attacking midfield (kiungo mshambuliaji) wakati messi ni forward anacheza kama false 9 au wing foward kiswahili tunasema anashambulia toka pembeni, kila mtu ana role yake.

kitaalamu hawafananishiki, Messi fanya comparison na kina Pelle, maradona, Christiano ronaldo, Ronaldinho, cruyff etc hao ndio wenzake.

kila mmoja baina ya messi na zidane ana uwezo wake ambao mwengine hana. ila kwa fainali? ni bora niwe na zidane kwenye timu kuliko Messi.
Kama hakuelewa.. arudi VETA
 
Mihemko hii sasa....Zidane Uwezo wake haujafika hata robo ya Messi.....Zidane tunamuweka daraja moja na Iniesta au Xavi
Funga mdomo wako... Iniesta na Xavi ni level ya Zidane?... shwain kabisa
 
Zizou aliweza ku convert game iende kasi, slow, moderate whatever anavyotaka yeye hili pia Xavi alijaribu mara kadhaa lakini si kwa mafanikio sana.

Complete pasi za Xavi ni habari nyingine hapa duniani.

Kwa impact ya kuamua matokeo hajatokea kama Zidane, Delima, Messi na C.R7

Xavi + Iniesta = unaweza kumpata Zizzou

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Vitu vyote vya xavi zizu anavyo, lakin kuna vtu vya zizu havipatikan kwa xavi

(Xavi + iniesta) ÷ 2 = zizu

Kumbe wastan wa ao wakatalunya katika ubora wao unampata zizu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Xavi the magician..
Xavi sijawahi kuona huyu jamaa anapoteza mpira katikati. Mimi namkubali sana huyu jamaa hajapewa sifa anazostahili kabisa yaani hakuna haki kwa kweli, labda alikosa kick tu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hii ni JF ambayo mimi ninaifahamu au nyingine yani unamlinganisha zizzou na pimbi ambaye hata Owen Hargreaves hamfikii kwaubora ? Hii mada imezungumzwa kindezi sana.
 
Hii ni JF ambayo mimi ninaifahamu au nyingine yani unamlinganisha zizzou na pimbi ambaye hata Owen Hargreaves hamfikii kwaubora ? Hii mada imezungumzwa kindezi sana.
Kweli kabisa hakuna kufanana hapa, Yaani Zidane na Xavi? Nikumkosea heshima yule mwarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kufananisha usingizi na kifo brother zizou ni habar ingine
 
Alieleta hii mada anamkosea heshma babu zidane kiukwel hata mimi niombe radh kwa kumkosea heshm huyu mwamba kuchangia huu upuuz
huwez fananisha usingiz na kifo
 
Back
Top Bottom