Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

Umeua kaka... hawa facebook wameanza kufatilia mpira Rio Ferdinand ananyoa kipara hawawezi kumpata vzr Zizzou.
 
Asante ndugu.. Niseme nini tena
 
Zidane ashukuru Mungu amekwepa Era ya kina Messi....unless otherwise tungemsahau
Messi anacheza Era ya wachovu ndio unamtaja hapa... Hivi we unawajua waliocheza enzi ya Zidane au unataka kujuzwa?
Messi na C.Ronaldo ndio washindani tu miaka 10 Mfululizo .. Messi na Ronaldo ndio washukuru kukwepa era ya akina Zidane
 
Kama hakuelewa.. arudi VETA
 
Mihemko hii sasa....Zidane Uwezo wake haujafika hata robo ya Messi.....Zidane tunamuweka daraja moja na Iniesta au Xavi
Funga mdomo wako... Iniesta na Xavi ni level ya Zidane?... shwain kabisa
 
Zizou aliweza ku convert game iende kasi, slow, moderate whatever anavyotaka yeye hili pia Xavi alijaribu mara kadhaa lakini si kwa mafanikio sana.

Complete pasi za Xavi ni habari nyingine hapa duniani.

Kwa impact ya kuamua matokeo hajatokea kama Zidane, Delima, Messi na C.R7

Xavi + Iniesta = unaweza kumpata Zizzou

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Vitu vyote vya xavi zizu anavyo, lakin kuna vtu vya zizu havipatikan kwa xavi

(Xavi + iniesta) ÷ 2 = zizu

Kumbe wastan wa ao wakatalunya katika ubora wao unampata zizu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Xavi the magician..
Xavi sijawahi kuona huyu jamaa anapoteza mpira katikati. Mimi namkubali sana huyu jamaa hajapewa sifa anazostahili kabisa yaani hakuna haki kwa kweli, labda alikosa kick tu
 
Reactions: PNC
Hii ni JF ambayo mimi ninaifahamu au nyingine yani unamlinganisha zizzou na pimbi ambaye hata Owen Hargreaves hamfikii kwaubora ? Hii mada imezungumzwa kindezi sana.
 
Hii ni JF ambayo mimi ninaifahamu au nyingine yani unamlinganisha zizzou na pimbi ambaye hata Owen Hargreaves hamfikii kwaubora ? Hii mada imezungumzwa kindezi sana.
Kweli kabisa hakuna kufanana hapa, Yaani Zidane na Xavi? Nikumkosea heshima yule mwarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kufananisha usingizi na kifo brother zizou ni habar ingine
 
Alieleta hii mada anamkosea heshma babu zidane kiukwel hata mimi niombe radh kwa kumkosea heshm huyu mwamba kuchangia huu upuuz
huwez fananisha usingiz na kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…