Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

hapana ! amekariri sana kijana huyu lol! vip wewe huna ushuhuda kidogo kusupport siredi
mi sina uzoefu na mambo haya..., ndo kwaaanza najifunza, uzoefu wenu tafadhali
 
Kama kugongewa demu inauma vile je mke uliyelipa mahari aisee Mungu aninusuru na hilo janga...
 
hakuna kitu kinauma kama kugongewa mke aisee
Usijali kaka Eddy hata siku moja usidhubutu kumfuatilia mwanamke hata ka ni mke wako achilia mbali girl friend huo mwli ni mali yake akiamua hata ka umeweka walinzi kila kona hao hao ndo watakao mfaidi kwani maamuzi anayo yeye
Cha msingi ni kuomba mungu akupe mke mtulivu ila katu usimchunge ndoa nyingi zinavunjika kwa kuchunguzana
Kenya ck hizi naona wanawekeana minato kama kumkomoa mke au mume ila wanaishia kuabika tuuu na dunia nzima sasa faida kwa nani hata ukiweka fumanizi anaishia kuabike ni mume kwani jamii inakuchukulia kuwa hamtoshelezi mkeo ndo maana akachepuka ni nini kifanyike
Ukigundua mkeo mumeo kachepuka wewe muache kimya kimya tu ndo dawa
 
Inaonyesha haya mambo yamekutokea kwanini unasimulia hatua baada ya hatua
Kwenye kipengele cha kufanya nae mapenzi ukagundua tafauti kwnye sehemu zake za siri ka kutanuka etc mm sikubaliani na wewe ni mwanamke mpumbavu sana atakae kubali ufanye nae tendo la ndoa siku hiyo hiyo aliyo chepuka hapo nakataa
Atakukatalia katu haya watu kumbuka ndo wametuleta duniani so wanajua mapungufu yetu yote
 
Hapo unapotosha
 
Hayo utakuwa umeyaonea kwa mkeo maana wote nyie mmetoka kolomije shwain.Usisumbue watu tunawaza Noah zetu pfuuuu
Hata mimi nahisi hivyo baraka huyu jamaa anaelekea kesha umizwa sana na si ajabu kesha mtaliki huyo aliemfikisha humu cha msingi nimemshauri mwanamke hachungwi bali anajichunga peke yake utaishia kukonda na hata kufa kwa kiroho
Omba mungu akupe mke mwema na sio bora mke tatizo wanaume na wanawake ji kukurupuka zaidi

Hii technologies ya simu imesambaratisha ndoa nyingi sana hata kusababisha vifo wewe cm ya mkeo usipekue hivyo ndivyo cm ya mumeo usipekue utakutana na mengi
Wanaume wengi ninao wajua wenye wivu na ubabe wake zao wanapakuliwa kama kawa
 
usipoweza kujua mwili wa mkeo basi nirahisi sana kuhujumiwa
Ujue mwili wa mkeo kwani wewe ndo mama yake ulie mzaaa [emoji27]
Na hata ka umekuta ana alama kwenye paja una uhakika gani ka ni birthmark au ndivyo si vyo
Wewe utamjua mkeo kwa tabia za muonekano za ndani muachie mungu
 
Ujue mwili wa mkeo kwani wewe ndo mama yake ulie mzaaa [emoji27]
Na hata ka umekuta ana alama kwenye paja una uhakika gani ka ni birthmark au ndivyo si vyo
Wewe utamjua mkeo kwa tabia za muonekano za ndani muachie mungu
vipi mbona mkali mkuu?
 
Ujue mwili wa mkeo kwani wewe ndo mama yake ulie mzaaa [emoji27]
Na hata ka umekuta ana alama kwenye paja una uhakika gani ka ni birthmark au ndivyo si vyo
Wewe utamjua mkeo kwa tabia za muonekano za ndani muachie mungu


hhahaha ni kweli aic
 
unajua kujitetea we mtoto yaani mahakamani kesi washindA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…