Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Kama kugongewa demu inauma vile je mke uliyelipa mahari aisee Mungu aninusuru na hilo janga...
 
hakuna kitu kinauma kama kugongewa mke aisee
Usijali kaka Eddy hata siku moja usidhubutu kumfuatilia mwanamke hata ka ni mke wako achilia mbali girl friend huo mwli ni mali yake akiamua hata ka umeweka walinzi kila kona hao hao ndo watakao mfaidi kwani maamuzi anayo yeye
Cha msingi ni kuomba mungu akupe mke mtulivu ila katu usimchunge ndoa nyingi zinavunjika kwa kuchunguzana
Kenya ck hizi naona wanawekeana minato kama kumkomoa mke au mume ila wanaishia kuabika tuuu na dunia nzima sasa faida kwa nani hata ukiweka fumanizi anaishia kuabike ni mume kwani jamii inakuchukulia kuwa hamtoshelezi mkeo ndo maana akachepuka ni nini kifanyike
Ukigundua mkeo mumeo kachepuka wewe muache kimya kimya tu ndo dawa
 
HAPA PINDI ANAPORUDI NYUMBANI
1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga.

2. Mara nyingi mavazi aliyovaa siku hiyo, akishayavua hukimbilia kwenda kuyasokomeza kwenye kapu la nguo chafu au chumba cha watoto wakati si kawaida yake. Siku zote huvulia chumbani na asubuhi huzipeleka kwenye kapu.

3. Ukimkazia macho usoni na kumuangalia, hukwepesha macho yake kwa aibu dhamira anahisi kama umejua.

4. Hatapenda kukaa sanjari na wewe mumewe kama kawaida yenu.

5. Kama hatasingizia kuumwa tumbo saa mbili kabla ya kurudi nyumbani, basi atafanya hivyo akishafika tu. Anaweza pia kukusumbua kwa kutaka uende kumnunulia dawa..

HAPA PINDI UNAPOKUWA NAYE KITANDANI
1. Kama ametoka kuliwa kavu kavu lazima utakuta papuchi yake imelowa.

2. Kutanuka kwa papuchi ikiwa atakuwa amechepuka na mwanaume mwenye mtalimbo mkubwa lazima utakuta papuchi yake imepanuka. hili utaligundua pindi unamuingiza...itaingia moja kwa moja bila mkwamo wowote kwa kuwa k imekuwa pana.

3. Mwanamke aliyetoka kudinywa utamjua tu unapokuwa naye kwa bed. kwanza hisia zake zitakuwa tofauti na ambavyo hajaliwa hakawii kukuuliza: "bado hujamaliza?". ukiona hivyo ujue umeishaibiwa. kwanza hata ushirikiano wake kitandani hupungua sana. na unapomuomba "cha pili" husingizia ama kiuno kinauma au kisingizio chochote. ukiona hv ujue ushagongewa ndugu yangu.

4. Kukataa kuliwa bila sababu za msingi: hapa ujue atakuwa tayari ameishachoshwa na mchepuko.

5. Jaribu kuchunguza tofati ya papuchi unapoenda cha kwanza na cha tatu. Iliyotumika inakuwa kama unavyoenda cha tatu.
Ule ugumu wa kuingia wakati unataka kupiga cha kwanza huwa haupo tena.

6. Unaweza kutress harufu kwani harufu au jasho la mtu mwingine unaweza kuligundua kama mkeo katoka nje muda si mrefu. Jasho la mtu mwingine kwenye mwili huwa ni laana hivyo utambaini, au harufu ya pafyume itabaki tu mwilini hata awe ametoka kuoga

MWISHO; UKIMWI UNAUA TUWE MAKINI KWENYE MAPENZI

by dokta Eddy Love
Inaonyesha haya mambo yamekutokea kwanini unasimulia hatua baada ya hatua
Kwenye kipengele cha kufanya nae mapenzi ukagundua tafauti kwnye sehemu zake za siri ka kutanuka etc mm sikubaliani na wewe ni mwanamke mpumbavu sana atakae kubali ufanye nae tendo la ndoa siku hiyo hiyo aliyo chepuka hapo nakataa
Atakukatalia katu haya watu kumbuka ndo wametuleta duniani so wanajua mapungufu yetu yote
 
Mkuu;
Atakuwa mwanamke mpuuzi sana huyo. Ajue kuwa amekuvunjia hishima halaf ati aje na sababu, Ohh kiuno changu jamanii. Au aseme nimechoka jamani, kule kazini kulikuwa na kazi nyingi.
Kama ametoka kudinywa, kwako atajituma kupita kiasi ili usimdhanie mabaya. Mwanamke anaweza kutosheleza midume 3 bila shida kwa siku moja na nyote mkainua mikono na kulia Poo.
Mkuu, usihangaike na kumtega mkeo. Kama hana uaminifu ni kumuomba Mola tu asikuletee ukimwi. Mtu mzima hafugiki.
Hapo unapotosha
 
Hayo utakuwa umeyaonea kwa mkeo maana wote nyie mmetoka kolomije shwain.Usisumbue watu tunawaza Noah zetu pfuuuu
Hata mimi nahisi hivyo baraka huyu jamaa anaelekea kesha umizwa sana na si ajabu kesha mtaliki huyo aliemfikisha humu cha msingi nimemshauri mwanamke hachungwi bali anajichunga peke yake utaishia kukonda na hata kufa kwa kiroho
Omba mungu akupe mke mwema na sio bora mke tatizo wanaume na wanawake ji kukurupuka zaidi

Hii technologies ya simu imesambaratisha ndoa nyingi sana hata kusababisha vifo wewe cm ya mkeo usipekue hivyo ndivyo cm ya mumeo usipekue utakutana na mengi
Wanaume wengi ninao wajua wenye wivu na ubabe wake zao wanapakuliwa kama kawa
 
usipoweza kujua mwili wa mkeo basi nirahisi sana kuhujumiwa
Ujue mwili wa mkeo kwani wewe ndo mama yake ulie mzaaa [emoji27]
Na hata ka umekuta ana alama kwenye paja una uhakika gani ka ni birthmark au ndivyo si vyo
Wewe utamjua mkeo kwa tabia za muonekano za ndani muachie mungu
 
Ujue mwili wa mkeo kwani wewe ndo mama yake ulie mzaaa [emoji27]
Na hata ka umekuta ana alama kwenye paja una uhakika gani ka ni birthmark au ndivyo si vyo
Wewe utamjua mkeo kwa tabia za muonekano za ndani muachie mungu
vipi mbona mkali mkuu?
 
Ujue mwili wa mkeo kwani wewe ndo mama yake ulie mzaaa [emoji27]
Na hata ka umekuta ana alama kwenye paja una uhakika gani ka ni birthmark au ndivyo si vyo
Wewe utamjua mkeo kwa tabia za muonekano za ndani muachie mungu


hhahaha ni kweli aic
 
nadhan ulichoongea ni kweli tupu! mwanamke apate kila kitu,umjali hisia zake,umpe care unazoweza za ndani ya uwezo wako, hata kama mume maskini kabisa ngumu sana mwanamke wa aiana hyo kuchepuka! labda kama aliingia kwenye ndoa kwa sababu zingine lakin ikama alikupenda kwa dhati yaana hawachepukagi!
ukiona anachepuka huyo ana kaasili ka damu ileee!ya kuruka ruka!
TUVUMILIANE TU
unajua kujitetea we mtoto yaani mahakamani kesi washindA
 
Back
Top Bottom