ununue ugolo kabisa nikupe trick nyingine yakumbaini
Yaaan kusoma tuu huu uzi tayari nmeshadaka mke wangu
Sawa Eddymid nimebobea ndo maana nashare na wanaume wenzangu kama hizo dalili hakuna kuna trick nyingine halafu kesho ntaweka nazetu pia
Ngoja nimalizie maswala fulani tu....oa tu mkuu hizi ni changamoto tu