Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

ajitume vipi wakati atakuja na michubuko na hamu ishamalizwa atakuwa hasikii raha Bali maumivu
 
ajitume vipi wakati atakuja na michubuko na hamu ishamalizwa atakuwa hasikii raha Bali maumivu

Kweli kabisa ila anajua kuwa alikukosea. Nimekuambia hivi; Mwanamke akipenda anaweza kuwatimizia wanaume 3 kwa siku na wala asichoke. Kama wapo wanawake wa ukweli humu jf watakuambia
 
Maisha haya na Magu anavyonisomesha namba nifikirie kutafuta hela bado nifikirie kumchunguza mwanamke kama katoka kugongwa!!!never,labda kama kumchunguza nitaahidiwa mshiko otherwise atagongwa hata na tembo wala sitataka kujua.
 
Maisha haya na Magu anavyonisomesha namba nifikirie kutafuta hela bado nifikirie kumchunguza mwanamke kama katoka kugongwa!!!never,labda kama kumchunguza nitaahidiwa mshiko otherwise atagongwa hata na tembo wala sitataka kujua.
Uko vizuri mkuu
 
Kweli kabisa ila anajua kuwa alikukosea. Nimekuambia hivi; Mwanamke akipenda anaweza kuwatimizia wanaume 3 kwa siku na wala asichoke. Kama wapo wanawake wa ukweli humu jf watakuambia
Ni kweli, yupo jirani angu anawapanga hadi karaha
 
Ni rahisi kuchunga mbuzi au kondoo 100, kuliko kumchunga binadamu 1.



[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
nani kasema hayo hebu thibitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…