Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Utavunja ndoa za watu....

Kuna baadhi ya mambo ni bora kutoyajua..
 
Inategemeana hiyo midume 3 nguvu zao.
 
Kuna wengine ni roho ngumu hatar wanawake hawa... Akimalizwa kukobolewa anaenda kujisafisha vzuuur then kitu inachukuliwa shavu la uku n uku anayakutanisha kisha anapiga plasta... Baada ya 15 mins kitu imerud ktk ubora, utamgunduaje apo? Hawa co kbsa viumbe
 
Wanawake tunaonewa aisee.... Mbn Kila ck niwanawake tu?.. Na nitagunduaje km mme ametoka kuchepuka? Maana km mwanamke kachepuka inamanisha alikuwa na mwanaume...so mwanaume anakuwa na viashiria gani km katoka kuchepuka?
Inamaana Mwanaume Wako Bado Hujamjua Ndio Maana Hujui Kama Ametoka Kuchepuka Ila Ukihitaji Ntakuambia
 
Weka kidole kweny Papa afu mgusishe puani iko kidole akipiga chafya ujue katoka kupewa odhiambo........ Ukimwi unaua ila zaidi ni mateso ya moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…