KORBOTO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,848
- 2,446
kwann uhangaike hivo? bora uchague tu kati ya A au B.[emoji1] [emoji1] [emoji1] ntajifanya naumwa...na dawa nitakunywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwann uhangaike hivo? bora uchague tu kati ya A au B.[emoji1] [emoji1] [emoji1] ntajifanya naumwa...na dawa nitakunywa
Sasa atachepuka vipi ikiwa unamridhisha kijimai? Au hauna pesa?Nani Kakudanganya Ukimla Sana Ndo Hachepuki Hebu Achana Na Story Za Vijiweni Mkuu
ntachagua zote ila ntatafuta namna nisigundulikekwann uhangaike hivo? bora uchague tu kati ya A au B.
shida yote ya nini?ntachagua zote ila ntatafuta namna nisigundulike
Haha wala sifii,.nazijua chache me nataka 10 kama alivyoandika za wanawakeBora tu usijue....utajifia kwa presha
Mpime kwenyebkiwango cha shawa atakazozimwaga kwa bao la kwanza,Vipi kwa upande wa mwanaume aliyechepuka
Ni kweli, yupo jirani angu anawapanga hadi karaha
Kama Hvyo Mkuu Yaani Utamu Wa Mkeo Anaenda Kupewa Mtu Mwinginekama hivi
View attachment 530319
1-Hao matajiri watakuwa hawashughuliki ipasavyo.2-wanawaacha wake zao na hamu zao 3-Hivyo wake zao wanaenda kutafuta utamu nje! 4-Wao wapo bize kutafuta pesa na kusahau majukumu ya kindoa likiwemo hilo la kupunguzana uzito.teh teh tehKama Wake Za Matajiri Wanachepuka Je Wanafuata Nn Huko?
Nawewe Ambaye Siyo Tajiri Na Utamu Unampa Mkeo Tena Kisawasawa Lakini Anachepuka Tena Je Anafuata Nn?1-Hao matajiri watakuwa hawashughuliki ipasavyo.2-wanawaacha wake zao na hamu zao 3-Hivyo wake zao wanaenda kutafuta utamu nje! 4-Wao wapo bize kutafuta pesa na kusahau majukumu ya kindoa likiwemo hilo la kupunguzana uzito.teh teh teh