Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

1.anijali km mke
2.asiwe mbinafsi(hii imebeba mambo meng kias kwajili hujaoa nisingependa nikukuze ubongo wako)
hakuna mwanaume anaeboa km MBINAFSI JAMAN!
Hivi lazma upewe tu km goalkeeper wewe huwezi kutoa hata siku moja?
 
Ebu twambie basi kidogo ili tijipange kuingia kwenye ndoa


kwangu mimi binafsi najua mwanamke anataka vitu vidogo vidogo sanaaaa! ukiona mwanamke anataka mambo makubwa kuwa macho!
1.kumjali kwa vitu vidogo dogo sisi hapo basi tunapenda! mletee mkeo hata zawad ya pipi kifua basi! au mletee kitu anachopenda!huna uwezo wa kumnunulia nguo bas mletee hata pants nzuri!
mjali hisia zake! sisi wanawake tunapenda sana kusikilizwa!muwasikilize wake zenu hisia zao....

mengine wengin wataongezea!
 
1.mchunguze kama amerudi na mtindo tofauti wa nywere tofauti na alioondoka nao.kama alitoka amejidodeka ma lipstick, hatarudi nayo.


2.mara nyingi wanaporudi hubadili nguo haraka hasa za ndani na kuzificha au kuzifua kwani hizi hutunza sana harufu hasa ya mipira ya kiume na jasho.lkn hapa kama una pua kama za mbwa, aisee hata aoge au kuzifua utajua tu😀


3.kama alikuwa hataki kushiriki na wewe bila kinga, then ghafla akabadilika, siku chache baadaye akadai mjamzito,🙁


4.kwakuwa mtindo maarufu ni missionary ambao hufanya miguu kuelea angani kwa muda mrefu, hii huchosha misuli, hii huathili mwendo wake au hata kusimama kwa muda mrefu hivyo mtu huyu huitaji mapumziko.Ili kupata muda wa kupumzika na hata kuepuka udadisi, mhusika huleta visingizio ikiwemo kuuumwa.


5.Kama alivaa nguo nya nacheka tupe basi sehemu za matiti huwa na madoa ya uchafu wa mikono sababu wanaume mara nyingi huanziaga hapo.


Angalizo:nyingi ya njia hizi na nyinginezo hutumika zaidi kwa wale begginers, lkn kwa yale ma kalumbembe ya mjini utakwama, labda utiemo ka video recorder.😀





nimejikuta nacheka tu aic!haahhhaha
 
kwangu mimi binafsi najua mwanamke anataka vitu vidogo vidogo sanaaaa! ukiona mwanamke anataka mambo makubwa kuwa macho!
1.kumjali kwa vitu vidogo dogo sisi hapo basi tunapenda! mletee mkeo hata zawad ya pipi kifua basi! au mletee kitu anachopenda!huna uwezo wa kumnunulia nguo bas mletee hata pants nzuri!
mjali hisia zake! sisi wanawake tunapenda sana kusikilizwa!muwasikilize wake zenu hisia zao....

mengine wengin wataongezea!
Hapo sawa,nimekuelewa mdada
 
Wengine wanaoga huko na akirudi husingizia kachoka au ugonjwa na haogi, kazi kwako sasa.
 
Hapo tupo sawa sasa
hata kama umeoa na una mtoto wa kike huyo atakuwa wako kuanzia 0 age hadi atakapo vunja ungo "puberty" since then huyo tayari ni mtu mzima ana maamuzi yake chochote atakachokuwa anafanya ni siri zake na mama yake hawezi kuja akwambie leo nipo kwenye MP atamwambia mama yake ndo mama kama atapenda kukushirikisha atakwambia na inategemea mko na ushirikiano gani na mke wako
Hapo ni pale inatokea unampeleleza sana shemeji yetu tunarudi kulekule sasa siri wanalindana na bint yako
Nini kifanyike omba mungu akupe mke mwema anae kujali na unae mjali na kuaminiana
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe mke ndo familia muda mwingi yupo na wanao
Ole wako achepuke utajuta kwa tunda ka mti bint nae atachepuka matokeo anakutana na kauli za JMP serikali haitasomesha wazazi najua umenipata...
Huwezi chunga mtu anaitwa binadamu mwanamke.............
 
1.anijali km mke
2.asiwe mbinafsi(hii imebeba mambo meng kias kwajili hujaoa nisingependa nikukuze ubongo wako)
hakuna mwanaume anaeboa km MBINAFSI JAMAN!
kweli sijaoa ila uwezo wakuoa ninao ila bado sijapata chaguo sahihi,haya nambie ubinafsi upi unaousema wewe?
 
Back
Top Bottom