Zifahamu Mashine mbalimbali ambazo zinaweza kukusaidia kukuza miradi midogo hapa Tanzania

VACKSON GENERATORS
Kampuni hii ina majenereta durable sana, na yanafaa katika shughuli zako za kibiashara hapa mjini
Majenereta yao ni imara sana
ukilihudumia vizuri utakaa nalo mda mrefu sana
 
Mkuu unaweza kuattach tena hizi picha za mashine.Zimegoma kufunguka
 
EAGLE HIGH ELECTRIC PRESSURE WASHER 2200PSI
Bei 1,900,000
Moja ya mashine nzuri sana za mradi wako wa CAR WASH basi ni aina hii ya kampuni , mashine hizi ni durable na very robust kwa mazingira yetu sisi Africa
 
Plasma Fusion Cutter [CUT 40]
Bei 850,000
Unaweza kukata mild steels, stainless steel, aluminium, copper na Brass
 
HEAVY DUTY WELDING
NBC 500
Bei 2,900,000
Mashine kubwa za kuchomelea
 
AIR COMPRESSOR 2IN1
300L bei 2,450,000
Zinatumia umeme na mafuta zinafaa mazingira yote kwa maeneo yote TZ
Zikiwekwa kwenye maeneo yenye population kubwa au mji na usimamiaji mzuri zina faida nyingi na cost of maintenance ni ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…