Zifahamu Mashine mbalimbali ambazo zinaweza kukusaidia kukuza miradi midogo hapa Tanzania

Zifahamu Mashine mbalimbali ambazo zinaweza kukusaidia kukuza miradi midogo hapa Tanzania

Air compressors kwa ajili ya kujaza upepo/ kupuliza vumbi vifaa vya magari

Bei 1,450,000 200 Liters
Zipo pia lia 300,400,500
20230915_143258.jpg
20230915_143235.jpg
20230915_143207.jpg
20230915_143214.jpg
20230915_130250.jpg
 
PRESSURE WASHERS
Katika kampuni ambayo ina durable na robust machines basi ni hii LUTIAN

Ukipata maashine zake basi umefunga kazi kabisa
Kwa ambae ana wasiwasi aulize kwa mtu ambaye mwenye mashine za kampuni hii iwe pressure washer au generators , wapo vizuri sana hawa jamaa

Kwa mtu ambae atapata nafasi za kumiliko mashine za hawa jamaa ajikite tu kwenye utunzaji na effective maintenance & services otherwise mashine itadumu na itarudisha hela kwa wakatiView attachment 2750560

Mkuu mashine za hawa jamaa zimesimama kiasi gani?
 
Mkuu mashine za hawa jamaa zimesimama kiasi gani?
Zipo za petrol, diesel na umeme
Bei zake zinaanzia 1,800 000 hiyo ni kwa pressure washer
Lakini wana majenereta pia na pump na mashine nyingi sana , kiufupi ni brand ambayo inafanya vizuri sana na wana design engineers wazuri bila kusahau brand ya EAGLE, wanachuana hao
 
Pedrolo water pumps
made in Italy
Ni pump imara sana
Zipo surface na submersible katika ukubwa wa mdomo mbalimbali (in inches)
20230923_124208.jpg
20230923_124204.jpg
20230923_124155.jpg
20230923_124150.jpg
20230923_124142.jpg
20230923_124138.jpg
 
Mable cutters bei 170,000
Kwa ajili ya kukata granites, brittle au tiles kwa saizi ambayo mtu anataka
IMG-20230923-WA0009.jpg
IMG-20230923-WA0011.jpg
 
Y 24 PNEUMATIC DIGGER
Bei 750,000
Inatumia upepo
Screenshot_20230922-110251_WhatsAppBusiness.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230922-110251_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20230922-110251_WhatsAppBusiness.jpg
    48.5 KB · Views: 9
Earth Auger, mashine ya kuchimbia mashimo ,inatumia petroli
Bei 750,000
20230927_174029.jpg
 
Back
Top Bottom