Zifahamu nchi ambazo jua halizami

Hii imekaa kisayansi au nadharia tu
Maana huku kwetu jua linatuwakia miezi kibao lakn mazao hayawi kwa ukubwa huo
 
Uongo
 
Bora lisingekuwa linazama Tz tupunguze idadi ya wachawi Ili tushuke kwenye top two uchawi Africa🤣🤣🤣
 
Jua linakuwa halionekani buana inakuwa km dalili ya mvua hivi uache uongo
 
Scandinavian country's ndo ziliitwa zamani

Zilisifika kwa utajiri sijui sasa hali iko je.

Bora huku kwetu lisingezama tufanye kazi 24 hours daily [emoji1787][emoji1787]
Huku linawaka mchana lakin vijana wapo vijiweni kulaum serikali je lingewaka 24hr ingekuwaje?
 
Ingependeza kama tungepata na sababu za kijografia ili tusiishie kutikisa kichwa tuu. Wengine geography kushoto kabisa
Ni kuchange kwa mhimili wa dunia (earth's axis) kwa almost 23 degrees so kutokana shape ya dunia iliyopo kama yai (oval) husababisha polar regions kuwa titled away from the sun, yani dunia inakuwa kama imeegemea upande mmoja so hata iki rotate kuna maeneo ya polar regions hayataweza kuli face jua so hapo hawatapata jua.

Ni theory rahisi kuielewa ila lugha yetu nayo ni ngumu kuitumia kuelezea mambo ya kisayansi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…