Zifahamu sababu chache za gari zinazitumia Diesel kuwa bei juu

Zifahamu sababu chache za gari zinazitumia Diesel kuwa bei juu

KIMOMWEMOTORS

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2018
Posts
358
Reaction score
675
SABABU ZA GARI YA DIESEL KUA BEI JUU KULIKO PETROL

Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari

1. Uzito wa mafuta ya Diesel unaopelekea gari kutumia mafuta chini zaidi kwa wastani wa asilimia 15 mpaka 20 kulinganisha na gari za Petrol. Mfano, BMW X5 ya Diesel Cc 3000 inakadiriwa kwenda km 11 kwa lita wakati X5 ya Petrol Cc 3000 inakadiriwa kwenda km 8 kwa lita. hivyo watu wengi huhitaji zaidi gari za Diesel ili kupunguza gharama za mafuta

2. Uimara wa mda mrefu wa injini za Diesel. Kwa mda mrefu sana injini za Diesel zimejiwekea heshima kwa kua injini zinazodumu kwa mda mrefu ikilinganishwa na injini za petrol. Mifano ya injini zilizoweka heshima ya injini hizi kuaminika kwa kudumu ni kama 1HZ, 2L, 3L, 5L, injini zote za Landrover za Diesel, Injini zote Ford za Diesel, Injini zote za Toyota Hilux za Diesel maarufu kama D4D. n.k Hii pia inavutia uhitaji mkubwa wa gari hizo hivyo gharama lazima iwe juu kidogo

3. Ushuru wa gari za Diesel kua juu. Tukilinganisha X5 ya Petrol na Diesel, ushuru wa Diesel uko juu kwa hivyo kufanya bei iongezeke zaidi. Sababu ya ushuru kua juu ni uzalishwaji wa hewa na Nitrogen pamoja na hewa nyingine zinazoweza kuleta madhara kwa binadamu haswa changamoto ya upumuaji...pamoja na sauti ya juu inayopatikana katika gari za Diesel.

4. Historia inayoonesha kua kwa miaka mingi ya iliyopita, mafuta ya Diesel yaliuzwa kwa bei nafuu kuliko Petrol hivyo kuvutia wamiliki wengi wa magari kukimbiliza hizi za Diesel jambo lililofanya thamani ya gari hizo kua juu kutokana na uhitaji wake.

nadhani hayo machache yatatoa mwanga kwa nini gari za Diesel hua bei juu kulinganisha na zinazotumia Petrol.

Kwa msaada na Ushauri tembelea ofisi zetu za Dar na Mbeya

IMG_20210605_132538_788.jpg
 
Szan maana combustion system ya Diesel [emoji618][emoji618] engine lazma ipitishe mafuta kwa nozzle na diesel engine hazna carburator kama za petrol so plug hapa szan kama pocbo ingawa everything is pocbo under the [emoji274][emoji274][emoji274] sun

[emoji23][emoji23][emoji23] huo mfumo wa diesel unaitwa compression. BTW mambo ya carburator hayapo tena kwenye petrol engine
 
SABABU ZA GARI YA DIESEL KUA BEI JUU KULIKO PETROL

Na Kimomwe Motors (T) Ltd- Waagizaji Magari

1. Uzito wa mafuta ya Diesel unaopelekea gari kutumia mafuta chini zaidi kwa wastani wa asilimia 15 mpaka 20 kulinganisha na gari za Petrol. Mfano, BMW X5 ya Diesel Cc 3000 inakadiriwa kwenda km 11 kwa lita wakati X5 ya Petrol Cc 3000 inakadiriwa kwenda km 8 kwa lita. hivyo watu wengi huhitaji zaidi gari za Diesel ili kupunguza gharama za mafuta

2. Uimara wa mda mrefu wa injini za Diesel. Kwa mda mrefu sana injini za Diesel zimejiwekea heshima kwa kua injini zinazodumu kwa mda mrefu ikilinganishwa na injini za petrol. Mifano ya injini zilizoweka heshima ya injini hizi kuaminika kwa kudumu ni kama 1HZ, 2L, 3L, 5L, injini zote za Landrover za Diesel, Injini zote Ford za Diesel, Injini zote za Toyota Hilux za Diesel maarufu kama D4D. n.k Hii pia inavutia uhitaji mkubwa wa gari hizo hivyo gharama lazima iwe juu kidogo

3. Ushuru wa gari za Diesel kua juu. Tukilinganisha X5 ya Petrol na Diesel, ushuru wa Diesel uko juu kwa hivyo kufanya bei iongezeke zaidi. Sababu ya ushuru kua juu ni uzalishwaji wa hewa na Nitrogen pamoja na hewa nyingine zinazoweza kuleta madhara kwa binadamu haswa changamoto ya upumuaji...pamoja na sauti ya juu inayopatikana katika gari za Diesel.

4. Historia inayoonesha kua kwa miaka mingi ya iliyopita, mafuta ya Diesel yaliuzwa kwa bei nafuu kuliko Petrol hivyo kuvutia wamiliki wengi wa magari kukimbiliza hizi za Diesel jambo lililofanya thamani ya gari hizo kua juu kutokana na uhitaji wake.

nadhani hayo machache yatatoa mwanga kwa nini gari za Diesel hua bei juu kulinganisha na zinazotumia Petrol.

Kwa msaada na Ushauri tembelea ofisi zetu za Dar na Mbeya

View attachment 1808991
Kuhusu bei za petroli na diesel hapa Tanzania. Bei ya diesel ilikuwa nafuu kulinganisha na petroli, na wajanja kwenye petro stations wakawa wanachanganya mafuta ya diesel na petroli ili wapate faida zaidi kwenye petroli.

Baada ya mamlaka kugundua hili, ikapandisha bei ya diesel na mafuta ya taa ili kukomesha hiyo tabia.

Kwa maana hiyo ujinga wao wa kuchakachukua ukasababisha mwananchi wa kawaida apandishiwe bei.
 
Kuhusu bei za petroli na diesel hapa Tanzania. Bei ya diesel ilikuwa nafuu kulinganisha na petroli, na wajanja kwenye petro stations wakawa wanachanganya mafuta ya diesel na petroli ili wapate faida zaidi kwenye petroli.

Baada ya mamlaka kugundua hili, ikapandisha bei ya diesel na mafuta ya taa ili kukomesha hiyo tabia.

Kwa maana hiyo ujinga wao wa kuchakachukua ukasababisha mwananchi wa kawaida apandishiwe bei.
Kuna waliokuwa wanachanganya diesel na kerosene.

Usiombe ikukute ukaweka kwenye gari lako.

Utaita maji mma.
 
Kuhusu bei za petroli na diesel hapa Tanzania. Bei ya diesel ilikuwa nafuu kulinganisha na petroli, na wajanja kwenye petro stations wakawa wanachanganya mafuta ya diesel na petroli ili wapate faida zaidi kwenye petroli.

Baada ya mamlaka kugundua hili, ikapandisha bei ya diesel na mafuta ya taa ili kukomesha hiyo tabia.

Kwa maana hiyo ujinga wao wa kuchakachukua ukasababisha mwananchi wa kawaida apandishiwe bei.

Najua ilipanda bei ya mafuta ya taa na siyo bei ya diesel.
 
Huu uchakachuaji uligundulika moshi wakati walipoweka mafuta yaliyochakachuliwa katika moja ya magari ya msafara wa first lady wa awamu ya nne
 
Szan maana combustion system ya Diesel [emoji618][emoji618] engine lazma ipitishe mafuta kwa nozzle na diesel engine hazna carburator kama za petrol so plug hapa szan kama pocbo ingawa everything is pocbo under the [emoji274][emoji274][emoji274] sun
Bado upo kwenye carburettor 😁😁 zaman sana huko tulitoka ..karbu aslimia 100 ya gari za petrol unazoona zinatumia fuel injection .. carburettor zimebaki zile vw za 1975 huko
 
Hivi kuna diesel engine ambayo inatumia plug?
Injini zote za diesel za kizamani ambazo zilikuwa indirect injection zilikuwa zina tumia heater au Kwa Jina lingine Glow Plugs.
Mfano 1HZ inatumia Heater, injini za Kubota hizi utakuta umeandikwa inatumia Plug ingawa ni diesel.
 
Usisahau kusema pia modern diesel cars engines are very delicate.

Mafuta yakiwa machafu kidogo tu, utashika kichwa.
Kuna jamaa yangu ilimkuta hii aliweka mafuta hakufika mbali taa ya check engine ikawaka.
 
Szan maana combustion system ya Diesel [emoji618][emoji618] engine lazma ipitishe mafuta kwa nozzle na diesel engine hazna carburator kama za petrol so plug hapa szan kama pocbo ingawa everything is pocbo under the [emoji274][emoji274][emoji274] sun
Gari ipi ya petrol inayo carburettor kwani
 
Watu wamefuata thread yako wamenunua Mazda Zlza diesel k wa a ajiki ya mizunguko ya mijini zimawasumbua sana kwwnye suala.la DPF
 
Back
Top Bottom