Zifuatazo ndiyo Timu zangu pendwa ambazo GENTAMYCINE nitazishangilia mno katika AFCON ya 2024 Ivory Coast

Zifuatazo ndiyo Timu zangu pendwa ambazo GENTAMYCINE nitazishangilia mno katika AFCON ya 2024 Ivory Coast

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Morocco
2. DR Congo
3. Zambia

Kwanini?

Ni Timu ambazo zinacheza Mpira wa Kuvutia, wa Kisasa na kuna Vipaji vikubwa na Vingi.

Pia ni Timu ambazo Makocha wake hawafichi Vikosi vya Wachezaji wao kwa Wananchi ili Visijadiliwe na Visikosolewe na Wadau.

Lakini pia ni Timu ambazo hazitumiki na Marais wa Mataifa yao kama Turufu (Ngazi) ya Kujiimarisha zaidi Kisiasa na Vyama vyao Tawala.

Yaani kabisa GENTAMYCINE The King niache kuzishangilia Morocco, DR Congo ya akina JB Mpiana na Wenge Musica BCBG na Zambia ya akina Rally Bwalya, Kennedy Musonda, Moses Phiri na Clatous Chota Chama niwashangilie Mazuzu, Wapuuzi na Wanafiki wengine?

Kudadadeki!
 
Kwahiyo ikitokea kuna mechi kati ya

1. Morocco vs Tanzania
2. Tanzani vs DR Congo
3. Zambia vs Tanzania

Wewe utashabikia timu za kigeni?

Kuwa kama Bongo Zozo, sio mtanzania lakini anashabikia Taifa stars
 
Kwahiyo ikitokea kuna mechi kati ya

1. Morocco vs Tanzania
2. Tanzani vs DR Congo
3. Zambia vs Tanzania

Wewe utashabikia timu za kigeni?

Kuwa kama Bongo Zozo, sio mtanzania lakini anashabikia Taifa stars
Sina Upumbavu na Unafiki huo Mkuu. Nasisitiza tena nitazishangilia Morocco, DR Congo na Zambia tu.

Kudadadeki....!!
 
Sina Upumbavu na Unafiki huo Mkuu. Nasisitiza tena nitazishangilia Morocco, DR Congo na Zambia tu.

Kudadadeki....!!
Mkuu kwenye hili tuko pamoja, hii timu tuwaachie wanaodhani ni yao, ukijua ni wapi zinauzwa jezi za Zambia nijulishe tafadhali.
 
Back
Top Bottom