Ziggy Marley Vs Damian Marley Vs Stephen Marley Vs Kymani Marley Vs Julian Marley who is the best?

Ziggy Marley Vs Damian Marley Vs Stephen Marley Vs Kymani Marley Vs Julian Marley who is the best?

Napenda muziki wa Reggae, lakini huko Carrebean kuna watu wako fire mpaka nakosa muda wa kuwasikiliza hao watoto wa Bob Marley. In short wote ni overrated tu, wanatembelea umaaarufu wa baba yao.
hauko serious man unaongea vitu ambavyo havipo hawa watu ni hatari kuliko unavyodhani
 
No cigarette smoking in my room.... Stephen Raga Marley
 
hauko serious man unaongea vitu ambavyo havipo hawa watu ni hatari kuliko unavyodhani


Niko serious na Reggae music kuliko unavyofikiria. Hiyo ndio breakfast na dinner yangu. Kuna wakali wa mixtape wecked kaka, ukitaka nikupe, lakini humo ukimsikia mtoto wa Marley labda ni featuring tu.
 
Hii album (stonehill) imechukua the best reggae album, granny awards.
Sema Surname ya Marley inawabeba kwenye awards kibao..
Mke wa ziggy marley yupo kwenye kamati ya grammy awards...
Kuna wanacarribean wapo vizuri zaid ya marley brothers..
Mfano Kabaka pyramid,Protoje,chronixx a.k.a chronology, chris martin
 
Umsikilizi Ziggy, juzi hapa kapata Grammy ya Album ya Fly Rasta. Damian anawika tu kwenye main stream music lakini Ziggy ni mchawi wa shows kama babake. Ni vile tu audience ya muziki wa sasa hawaelewi kabisa radha ya muziki mzuri.

NB: Hii haimaanishi Damian ni mbovu, hapa nawalinganisha big na young Marley brothers.
True..marley brothers wanabebwa saana..
Darmian mtoto wa miss world mtu wa main stream sana..
 
Umsikilizi Ziggy, juzi hapa kapata Grammy ya Album ya Fly Rasta. Damian anawika tu kwenye main stream music lakini Ziggy ni mchawi wa shows kama babake. Ni vile tu audience ya muziki wa sasa hawaelewi kabisa radha ya muziki mzuri.

NB: Hii haimaanishi Damian ni mbovu, hapa nawalinganisha big na young Marley brothers.
Ndiyomaana nikamnukuu Capleton akisema music is a mission not a competition.

Na kushinda tuzokwangumimisiubora, kuna rapper wa Gangstarr anaitwa Guru, pamoja na DJ Premier wamefanya kazikubwa, muziki mzuri, wenye message, wame elevate hip hop na kuweka msingimzuri sana.

Lakinihajapata award yoyote.

Kuwa na objective judgement kwenye muzikinijambo gumu, kwa sababu mtu anaweza kuwa na mahaba na mtu anavyovaa, anavyoonekana etc,au akapenda kitu chake, that doesnot mean muziki huo ndio bora.

Kwa mfano, mtu anaweza kusema kwamba Ziggy na Damian wote wana audiences zao, kwamba wazee wazee mnaopenda sana roots mkamuona Ziggy zaidi, wakati vijana wanaopenda mchanganyikowa roots na dancehall wakamuona Damian zaidi.

Hakijaharibika kitu.

Muzikiume evolve, familia imewakilishwa kila upande.

Ila mimibinafsi ukiniwekea Ziggy na Damian, Damian anakuwa juukirahisi sana.
 
Kila mmoja ana njia yake ya music, Ziggy amebase kwenye roots, Stephen anafanya love songs, Damian anafanya fusion ya raggae na ragga while kyman anafanya fusion ya reggae na hip hop, so sio rahisi kuwalinganisha na kusema who is the best among them
 
Write your reply...Acheni kumfananisha Damian Marley na vitu vya Kijinga


beautiful

Damien Marley ft Bob Brown
Beautiful is lit 🔥, huu wimbo nimeuskiliza ikabidi nitafute Uzi jf nijarib ku' compare na songs nyingne zenye mahadhi ya namna yake.
 
Damian n mkali
1665921295477.jpg
 
Back
Top Bottom