Zijue adhabu za 'Ushoga' kwa Mujibu wa Muswada uliopitishwa na Bunge la Uganda

Zijue adhabu za 'Ushoga' kwa Mujibu wa Muswada uliopitishwa na Bunge la Uganda

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
IMG_3879.jpg


Mbali na kuharamisha mapenzi ya jinsia moja, Muswada huo unapiga marufuku kueneza na kuunga mkono vitendo vya Ushoga na Ushoga uliokithiri.

Ushoga uliokithiri unahusisha mapenzi ya jinsia moja na watu walio chini ya umri wa miaka 18, watu wenye Ulemavu, Wahalifu wa Mara kwa mara au wakati mhusika ana maambukizi ya VVU.

Muswada huo tayari umewasilishwa kwa Rais Yoweri Museveni ambaye anasubiriwa kuusaini ili kuwa Sheria.
 
Maskini hana Kauli ndio hii Sasa.Licha ya mbwembwe zote ila Mseveni amenywea Kwa Wazungu Mashoga..
Umesoma ukaelewa lakini? Unafikri miswada huwa inasiniwa kiholela hivyo unavyotaka? Unerudishwa bungeni ili kufanyiwa marekebisho kwenye kipengele cha rehabilitation tu ukirudi Museveni anaanguka mkono!
 
Bora Museveni alipiga biti hadharani. Mama yetu hata kutamka anaogopa wazungu wasije kumnyima mikopo na misaada.

Museveni na Ruto wao waliongea hadharani, walitimiza wajibu wao.
Mleta mada hajasoma akaelewa!
 
Bora Museveni alipiga biti hadharani. Mama yetu hata kutamka anaogopa wazungu wasije kumnyima mikopo na misaada.

Museveni na Ruto wao waliongea hadharani, walitimiza wajibu wao.
Mbona Tanzania tumewafunga kabisa 😁😁
 
Back
Top Bottom