sky walker
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 1,160
- 831
1-Anyebadili jina Mitandaoni na kujiita majina ya watu Maarufu,huyo ni MJINGA.
2-Anaetoa Mimba kisha kulala na Midoli,huyo ni MIJNGA.
3-Anaedate na MUME wa mtu miaka nenda Rudi na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo ni MJINGA.
4-Anaeweka nywere,Kucha,Kope, za BANDIA halafu akiambiwa umependeza anasema Asante, huyo ni MJINGA.
5-Anaebeba Minguo ya hawala yake na kwenda kufua hali akijua huyo ni MUME wa Mtu huyo ni MJINGA.
7-Anaemkataa mwanaume anaetaka kumuoa kwa ajiri ya BISHOO wa kwenda nae club huyo ni MJINGA.
8-Anetoroka kwao na kwenda guest kulala na bwana na asubuhi anaambiwa hapa sina hela, iliyobaki naenda kumpa Mke Wangu na akakubali huyo ni MJINGA.
8-Mwanamke ambaye hamiliki hata Kitanda, kisha anataka Mwanaume mwenye gari,huyo ni MJINGA.
9-Mwanamke anakwenda kwenye ibada huku amevaa sket fupi halafu njia nzima aniashusha ili Magoti yasionekane huyo ni MJINGA.
Ongeza na yakwako!!!!!!!
2-Anaetoa Mimba kisha kulala na Midoli,huyo ni MIJNGA.
3-Anaedate na MUME wa mtu miaka nenda Rudi na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo ni MJINGA.
4-Anaeweka nywere,Kucha,Kope, za BANDIA halafu akiambiwa umependeza anasema Asante, huyo ni MJINGA.
5-Anaebeba Minguo ya hawala yake na kwenda kufua hali akijua huyo ni MUME wa Mtu huyo ni MJINGA.
7-Anaemkataa mwanaume anaetaka kumuoa kwa ajiri ya BISHOO wa kwenda nae club huyo ni MJINGA.
8-Anetoroka kwao na kwenda guest kulala na bwana na asubuhi anaambiwa hapa sina hela, iliyobaki naenda kumpa Mke Wangu na akakubali huyo ni MJINGA.
8-Mwanamke ambaye hamiliki hata Kitanda, kisha anataka Mwanaume mwenye gari,huyo ni MJINGA.
9-Mwanamke anakwenda kwenye ibada huku amevaa sket fupi halafu njia nzima aniashusha ili Magoti yasionekane huyo ni MJINGA.
Ongeza na yakwako!!!!!!!