Zijue faida za Kiafya za Kitunguu Swaumu (Garlic) Featured

mzizi mkuu thanks alot. maana ndio maana ya jamii forum na wala sio ujinga tunaelimishana, tunasaidiana Mungu akubariki sana
 

Mbona hujaimalizia hii MziziMkavu nataka kumkomesha mtu bana
 
Mbona hujaimalizia hii MziziMkavu nataka kumkomesha mtu bana
Ulikuwa unataka Dawa ipi tena ya kumkomesha mpenzi? fanya hivi kila unapoahidiana nae kufanya tendo la ndoa jipake katika

kichwa cha utupu wako maji ya kitunguu Saumu kisha umuingilie atakupenda ajabu kwa sababu ya ule muwasho wake ndani ya utupu wake hata akijaribu kwa mtu Mwengine hawezi kupata Raha ya hiyo Kitunguu saumu ukisage na

kukikamuwa upate maji yake, lakini usifanye kwa shemeji yangu (Mke) wako fanya kwa Demu wako wa nje hiyo Dawa ninakupa kisha unipe feedback Kimox Kimokole
 
Last edited by a moderator:

Ahahahaaaaaa, hapo nitaua duh!
 
Ahaa.jamani huyu baba naye feedback ya nini wakati we ulishajaribu feedback unayo angalia asije na feedback ya kukimbiwa
Mkuu The secretary kila kitu kina faida yake mimi huwa ninajisikia raha ninapo mpa mtu dawa akiitumia kisha anipe Feedback je imefanya kazi au la? lakini sisi Wa Tanzania ukisha pewa Dawa ukipona tu basi unasahau kuwa kuna mtu aliye kusaidia kukupa Dawa lazima tuwe Watu wenye shukrani sio kukosa shukrani ni hivyo mwanangu The Secretary.
 
asante mzizi mkavu
 

Poa ngoja na mi nikamwambie wa kwangu apake hivyo vitunguu swaumu halafu nitakuletea feedback
 
Nauliza kuna dawa ya asili isiyokuwa na madhara (side effects) ya kunenepesha au kurefusha uume?
 
Nauliza kuna dawa ya asili isiyokuwa na madhara (side effects) ya kunenepesha au kurefusha uume?
Mkuu Joack Madhara ya Dawa za kienyeji ukikosea masharti yake hapo ndipo zinaleta madhara kwa

mfano ukiambiwa utumie siku tatu wewe ukaamuwa kuzidisha au kupunguza zitakuwa dawa hazifanyi kazi hapo ndipo

madhara yenyewe . Na kuhusu kurefusha uume kama upo kijijini nenda porini kuna Mti mmoja unaitwa Mdodoki kauchanje chale hilo tunda lake la Mdodoki,

kidoge hilo tunda lake litatoa utomvu wa maziwa kisha jichanje kwenye uume wako kidogo chale kama 2 kisha ujipake huo
utomvu wa maziwa ya huo Mti wa Mdodoki kisha huo mdodoki uweke alama yoyote uwe kila baada ya siku 3 unakweda

kuoona huo mdodoki kadri unavyo kuwa na hivyo hivyo uuume wako utakavyozidi kuwa mkubwa ila aangalie ukisha

kuwa mkubwa huo mdodoki yaani baada ya wiki moja au mbili inategemea unavyotaka ukubwa wa uume wako kisha

uende kwenye huo mdodoki ukate . ukisha kata basi uume wako utakuwa kama ulivyokuwa huo mdodoki jaribu hiyo

dawa kisha unipe feedback au waweza kunitumia Email kwa address yangu hii fewgoodman@hotmail.com Ukitaka

Dawa za kuongeza uume na nguvu za kiume na Dawa za kupunguza unene Kilo na mafuta mwilini
 
Last edited by a moderator:

Mamaangu wee MziziMkavu huo mdodoki unavyotambaa hiyo dudu siitakuwa kama kamba?
 
Last edited by a moderator:
Mamaangu wee MziziMkavu huo mdodoki unavyotambaa hiyo dudu siitakuwa kama kamba?
bibie The secretary Si anataka ndizi yake iwe kubwa na ndefu? na atumie mdodoki lakini ataukata mpaka hapo atakapo taka Size yake lakini kuwa baadhi ya wanawake watamkimbia wakiona ndizi yake kubwa si unajuwa kuna wanawake wengine wanapenda ndizi kubwa na wengine hawapendi kuwa na ndizi kubwa Wanwake mupo tofauti kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…