Zijue faida za Kiafya za Kitunguu Swaumu (Garlic) Featured

Nasikia kitunguu saumu sio kizuri kwa watu wenye ulcers; kuna ukweli hapo?
 
Hichi ni kiungo ambacho siwezi kukikosa kwangu kama vile kitunguu maji kilivyo muhimu.
 
Mkuu Mzizi mkavu asante kwa kusaidia jamii,
sasa mh. Mbona hawarudi kutoa feedback na miaka inazid kwenda?
Pia pliz unahtajika kwenye post ya 'kila akija ni wa kike nifanyeje?'
 
Mkuu Mzizi,kuna mtu aliuliza kwamba "kama ukiwa na promis sa kumi je ukijpaka swaum sa sita, je itafanya ile kaz ya kuburudisha?" hukumjib,nipe hiyo tafadhali,
 

Mkuu hicho kijicho cha asali nacho unakichanganya kwenye huo mchanganyiko? Na vipi hii dawa ya Uwatu Inapatikana maeneo yepi hasa?
 
Mkuu Mzizi Mkavu mchanganyiko wa Madalasini, Asali na Maji ya vuguvugu ni kwaajili ya kunywa?
 
Mkuu hicho kijicho cha asali nacho unakichanganya kwenye huo mchanganyiko? Na vipi hii dawa ya Uwatu Inapatikana maeneo yepi hasa?

Mkuu Mzizi Mkavu mchanganyiko wa Madalasini, Asali na Maji ya vuguvugu ni kwaajili ya kunywa?
Mkuu NDESSA ndio mchanganyiko wa Mdalasini Asali na Maji ya Uvuguvugu ni kwa ajili ya kunywa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mzizi,kuna mtu aliuliza kwamba "kama ukiwa na promis sa kumi je ukijpaka swaum sa sita, je itafanya ile kaz ya kuburudisha?" hukumjib,nipe hiyo tafadhali,
Mkuu Larusai Mux Mkuu haiwezi kufanya kazi inatakikana ujipake wakati bibie yupo ndani wewe nenda chooni kajipake kisha umuingilie ataona raha sana kimapenzi hawezi kukuacha huyooooo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Larusai Mux Mkuu haiwezi kufanya kazi inatakikana ujipake wakati bibie yupo ndani wewe nenda chooni kajipake kisha umuingilie ataona raha sana kimapenzi hawezi kukuacha huyooooo

mkuu Mzizi nimekupata vizur sana, kuna uzi 'unakushtaki' mkuu! Wa 'kujikinga na ukimwi bila kutumia kondom',karibu pale mkuu
 
Last edited by a moderator:
je vitunguu vinasaidia kuongeza nguvu za kiume au? tafadhali naomba unijibu. nashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…