Zijue faida za kutozini na kutunza sperm

Zijue faida za kutozini na kutunza sperm

Mshuza2

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
11,261
Reaction score
17,202
Vijana wengi wa siku hizi wanaona ni ujanja 'kukojoa' kila sehemu,mtu hawezi kukaa siku mbili bila kutoa manii,iwe kwa kusex au punyeto.
Kiafya na kiroho sio salama sana,sasa zifuatazo ni faida utakazopata ukitunza shahawa zako na kujiepusha na zinaa..
1.Itaongeza kujiamini..
2.Itaongeza ngu zako kiroho
3.Uso wako na ngozi vitakua na nuru.
4.Mvuto wako kwa watu utaongezeka..hasa mabinti.
5.Utimamu wako wa akili utaongezeka.
6.Utaboresha afya yako ya akili.
7.Utaongeza kumbukumbu.
8.Kinga zako kiroho zitaongezeka.
9.Utajiepusha na nuksi na mabalaa yatokanayo na zinaa.

Hizo ni baadhi tu ya faida,lakini kimsingi anguko la vijana wengi siku hizi liko kwenye uzinzi..ukifanikiwa kujiongoza kwenye hilo utaona pia mafanikio yakikujia..
Zinaa haijawahi kumuacha mtu salama..uzinzi una gharama! Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.
 
Yaani nibane manyege hadi kiuno iume ili niwavutie mabinti, then wakivutika nkatongozq wakakubali, bado nisipige mashine ili tu niwavutie mabinti wengine?
Dafuq bro?
Lets be realistic, tunauangalia mwili na roho very differently. Mwili au roho una vyalula vyake special ili kuuwezesha kuwa katika maximum efficiency. Sidhani kama kubana mbegu enhances that.
Kwa mfano mtu anakula hovyo, hafanyi mazoezi ni mchafu n.k, alafu ajitahd kutotoa mbegu ili avutie? Ashavunja vigezo vyote before that.
We washauri watu wawe wanafanya ngono salama na wajali afya zao, haya mambo ya kubana shahawa alaf unaenda kuuwawa na bodaboda ni uboya!
Povu ruksa
 
1.Itaongeza kujiamini..
2.Itaongeza ngu zako kiroho
3.Uso wako na ngozi vitakua na nuru.
4.Mvuto wako kwa watu utaongezeka..hasa mabinti.
5.Utimamu wako wa akili utaongezeka.
6.Utaboresha afya yako ya akili.
7.Utaongeza kumbukumbu.
8.Kinga zako kiroho zitaongezeka.
9.Utajiepusha na nuksi na mabalaa yatokanayo na zinaa.
Unamkosoa aliyezitengeneza?
 
Vijana wengi wa siku hizi wanaona ni ujanja 'kukojoa' kila sehemu,mtu hawezi kukaa siku mbili bila kutoa manii,iwe kwa kusex au punyeto.
Kiafya na kiroho sio salama sana,sasa zifuatazo ni faida utakazopata ukitunza shahawa zako na kujiepusha na zinaa..
1.Itaongeza kujiamini..
2.Itaongeza ngu zako kiroho
3.Uso wako na ngozi vitakua na nuru.
4.Mvuto wako kwa watu utaongezeka..hasa mabinti.
5.Utimamu wako wa akili utaongezeka.
6.Utaboresha afya yako ya akili.
7.Utaongeza kumbukumbu.
8.Kinga zako kiroho zitaongezeka.
9.Utajiepusha na nuksi na mabalaa yatokanayo na zinaa.

Hizo ni baadhi tu ya faida,lakini kimsingi anguko la vijana wengi siku hizi liko kwenye uzinzi..ukifanikiwa kujiongoza kwenye hilo utaona pia mafanikio yakikujia..
Zinaa haijawahi kumuacha mtu salama..uzinzi una gharama! Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom