Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Utakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata tezi dume uzeeni.
Fuatilia vizuri umuhimu wa kuejaculate.
Fuatilia vizuri umuhimu wa kuejaculate.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka hapaToba😂😂😂m ni robot Eunice
tayari ushafokaToka hapa
[emoji1787]Wapi nimetukana kila mtu na mwezi wa 7 natimiza miaka miwili bila kuzini?
Eeh 😂tayari ushafoka
Nini unacheka 😎[emoji1787]
karibu,, pole na kazi 😂😂Eeh 😂
Kazi gankaribu,, pole na kazi 😂😂
usipotoa utamu unaongeza chunusi usoniVijana wengi wa siku hizi wanaona ni ujanja 'kukojoa' kila sehemu,mtu hawezi kukaa siku mbili bila kutoa manii,iwe kwa kusex au punyeto.
Kiafya na kiroho sio salama sana,sasa zifuatazo ni faida utakazopata ukitunza shahawa zako na kujiepusha na zinaa..
1.Itaongeza kujiamini..
2.Itaongeza ngu zako kiroho
3.Uso wako na ngozi vitakua na nuru.
4.Mvuto wako kwa watu utaongezeka..hasa mabinti.
5.Utimamu wako wa akili utaongezeka.
6.Utaboresha afya yako ya akili.
7.Utaongeza kumbukumbu.
8.Kinga zako kiroho zitaongezeka.
9.Utajiepusha na nuksi na mabalaa yatokanayo na zinaa.
Hizo ni baadhi tu ya faida,lakini kimsingi anguko la vijana wengi siku hizi liko kwenye uzinzi..ukifanikiwa kujiongoza kwenye hilo utaona pia mafanikio yakikujia..
Zinaa haijawahi kumuacha mtu salama..uzinzi una gharama! Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie.
Mxiuuu tokaKazi gan
Kama ni zanyumbani ahsante, pole pia.Mxiuuu toka
kama ni kulala na kuamka asante sanaKama ni zanyumbani ahsante, pole pia.
Ndio umeamka?kama ni kulala na kuamka asante sana
ndio ila najiandaa kulala tenaNdio umeamka?
Haya ulalwe salamandio ila najiandaa kulala tena
unatunza sperm mda mrefu hadi zinahamia kwa kichwaHaya ulalwe salama
Kwa kichwa kipi?unatunza sperm mda mrefu hadi zinahamia kwa kichwa