Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #41
Aache kunyanduana kiholela ikiwa hawezi kuacha basi aoe tuKwenye Biblia hiyo hiyo Paulo na Yesu wamesema nini kuhusu faida ya mwanaume ambae haja oa na hana familia ya kumzonga ?
Hilo ndilo jibu la kitafiti ?Wengi sana
Ikiwa baba zao walio na kuwazaa wao halafu wao wanakataa ndoa huo ndio ugonjwa wa akili walio naoUliwapima ukagundua hilo ? Kwa huu mwaka toka January mpaka sasa September ni matukio mangapi yameripotiwa kutokea ndani ya ndoa kuonesha kuwa ugonjwa wa akili ni tatizo ?
✋😘Ushauri mzuri mkuu
HaswaaHilo ndilo jibu la kitafiti ?
😄😄Dunia hii wanaume hatuna faida sio
Huna faida ikiwa hutaoaDunia hii wanaume hatuna faida sio
Ukisikia ko ko nje usiku, atatoka kwenda kuangalia 🤣Naomba utuletee faida za kua na mume
Kupigwa pipe kila jua lizamapo.Naomba utuletee faida za kua na mume
Ni matukio mangapi kwa mwaka huripotiwa kuhusu wake kuwafanyia waume zao mabaya ? Au kushiriki katika kuwa fanyia waume zao mambo mabaya ?Toka out na mkeo kila mara, mashangazi wakikuona upo benet na mkeo watakuheshimu na hapo ndipo mkeo anapokulinda na watu wabaya.
Hao wasio na wake wana mishangazi ni wazinzi na hawaendi mbinguniUnafaham kuwa matajiri wakubwa duniani hawana wake?
weee ukiwanamipombe Yako siunatoka kwanza michaga yakike hamna uoga wotemaselaUkisikia ko ko nje usiku, atatoka kwenda kuangalia 🤣
Embu waanzishie uzi mkuu 😂Kupigwa pipe kila jua lizamapo.
Tuanze na Tanzania nipe ripoti ya sensa ya mwaka jana na uwiano baina ya wanaume na wanawake ?Sio kweli
Data/numbers hazipo ?Umefanywa kwa wanaume wengi Sanam duniani pote
umeoa?H
Embu waanzishie uzi mkuu 😂
demuwako huyó mkuu?Eti nani?
Mkuu soma vizuri mada inajielezaData/numbers hazipo ?