Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Hapna sijasakama mtu mie Joannah wasiwasi wako tu huoni kama unapendwa😂Fabian umenisakama wiki hii😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapna sijasakama mtu mie Joannah wasiwasi wako tu huoni kama unapendwa😂Fabian umenisakama wiki hii😁😁😁
Nakafeel kaupendo Kwa kweli😅Hapna sijasakama mtu mie Joannah wasiwasi wako tu huoni kama unapendwa😂
Mapadre wa Katoliki na maaskofu wao wanaishi maisha marefu sana kuliko waliooa nini kinawasaidia?Nakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.
Wanaume wasiowa hawako salama kiafya kwa sababu wanakabiliwa na ulaji chakula kisicho bora, ulevi wa kupindukia, uzinzi na uasherati na tabia zingine hatari.
Utafiti mwingine wa 2023 wa wanaume 6,800 wenye umri wa kati ya miaka 45 na 84 uliofanywa na Chuo cha Marekani cha Cardiology ulionyesha kuwa wanaume waseja wana uwezekano mara mbili wa kukumbwa na mfadhaiko na kushindwa kwa moyo.
Sawa nawewe ijue thamani yako iweje uone faida ya kuwa na mke, wew hauna faida kwa mwanamke as long as tunaishi kwa kutegemeanaAchana na mawazo ya kivulana bwashee.
Kumbe kwer ka chemistry kaanze kuja tu😂Nakafeel kaupendo Kwa kweli😅
Naunga mkono hoja 👍👏🤝Faida za kuwa na mke ni nyingi sana.
Nakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.
Wanaume wasiowa hawako salama kiafya kwa sababu wanakabiliwa na ulaji chakula kisicho bora, ulevi wa kupindukia, uzinzi na uasherati na tabia zingine hatari.
Utafiti mwingine wa 2023 wa wanaume 6,800 wenye umri wa kati ya miaka 45 na 84 uliofanywa na Chuo cha Marekani cha Cardiology ulionyesha kuwa wanaume waseja wana uwezekano mara mbili wa kukumbwa na mfadhaiko na kushindwa kwa moyo.
Faida iliyo kuu ya kuoa ni hii, "mkeo atakulinda na watu wanaokutumia vibaya. Atalinda sifa yako. Atakufanya uheshimike zaidi".
Na kuna upendeleo maalum kutoka kwa Mungu kwa yeye apataye mke (Mithali 18:22).
Kwa ujumla, wanaume wanapoowa, huwa wanafanya vyema maishani. Ndiyo maana Mungu anawaonya wanaume wasimsahau mke wa ujana wao ambaye aliwasaidia kusimama kwa miguu yao (Mal 2:14-16).
Kwa nini upige punyeto wakati Mungu amekuumbia mwenzako kwa kazi bora ya kibinadamu?
Biblia inasema ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa (1Kor 7:9). Jipatie msichana mzuri, hata kama ni ni 'lishangazi' we oa tu utaenjoy maisha marefu. Wekeza kwenye ndoa yako.
NB : wale team kataa ndoa wengi wao wana matatizo ya afya ya akili, usisikilize ufyatu wao.
Pata mke ufurahie uumbaji wa Mungu.
#Wanawake msome comments tu za wanaume, comments zenu hazihitajiki kwa huu uzi.
Barikiwa.
NakaziaNaunga mkono hoja 👍👏🤝
Medical studies zote ulizoziainisha zimebase on western community. Yaani gather here na utambuwe, sociological research yeyote ikitolewa inakuwa based on a certain community. Haiapply worldwide sio medical study yenye kuassociate medical aspects bali inabase on social determinants and factors. Hizo conclusion haziapply 90-100% on 3rd world countries maana hata some medical studies hufeli kuwa applied. Huko nje bado amoxicillin ina nguvu dhidi ya UTI ila in 3rd world country meropenem ndio imeanza kuwa ideal drug basing on studies. Hamna kitu hapo bossFaida za kuwa na mke ni nyingi sana.
Nakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.
Wanaume wasiowa hawako salama kiafya kwa sababu wanakabiliwa na ulaji chakula kisicho bora, ulevi wa kupindukia, uzinzi na uasherati na tabia zingine hatari.
Utafiti mwingine wa 2023 wa wanaume 6,800 wenye umri wa kati ya miaka 45 na 84 uliofanywa na Chuo cha Marekani cha Cardiology ulionyesha kuwa wanaume waseja wana uwezekano mara mbili wa kukumbwa na mfadhaiko na kushindwa kwa moyo.
Faida iliyo kuu ya kuoa ni hii, "mkeo atakulinda na watu wanaokutumia vibaya. Atalinda sifa yako. Atakufanya uheshimike zaidi".
Na kuna upendeleo maalum kutoka kwa Mungu kwa yeye apataye mke (Mithali 18:22).
Kwa ujumla, wanaume wanapoowa, huwa wanafanya vyema maishani. Ndiyo maana Mungu anawaonya wanaume wasimsahau mke wa ujana wao ambaye aliwasaidia kusimama kwa miguu yao (Mal 2:14-16).
Kwa nini upige punyeto wakati Mungu amekuumbia mwenzako kwa kazi bora ya kibinadamu?
Biblia inasema ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa (1Kor 7:9). Jipatie msichana mzuri, hata kama ni ni 'lishangazi' we oa tu utaenjoy maisha marefu. Wekeza kwenye ndoa yako.
NB : wale team kataa ndoa wengi wao wana matatizo ya afya ya akili, usisikilize ufyatu wao.
Pata mke ufurahie uumbaji wa Mungu.
#Wanawake msome comments tu za wanaume, comments zenu hazihitajiki kwa huu uzi.
Barikiwa.
Uwiano haupo kwasababu female baby deliveries ni nyingi kuliko male babies. Vitu vingi bado hawatambui. Pia kwenye kujifungua, survival rate ya female babies ni kubwa kuliko male babies, hasa kwenye risk pregnancies.Hizo ni data za ana Makinda na zimejaa uongo mtupu, mimi mwenyewe sikuhesabiwa halafu mtuambie wanawake ni wengi kuliko wanaume?
Ni uongo mkubwa
Hata Mama Mshuza nina wasiwasi naye.Heeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Joannah ni mwanaume!??
Sikujua kwakweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabu iko pale pale wale wazee wa msululu kazi ipo sasa unawezaje kuandika jina la kike angali umwanaume 😂Hata Mama Mshuza naye nina wasiwasi naye.
Heaven Saint alishawahi kudai kachoka kuchati kikike kike, unaona sasa...[emoji848][emoji2960]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hawana tofauti na Me walioweka profile pictures "pp" za kike ilihali wao ni Me, huoni jinsi gani dunia haiishiwi vituko Chifu?Tabu iko pale pale wale wazee wa msululu kazi ipo sasa unawezaje kuandika jina la kike angali umwanaume [emoji23]
Nimechoshwa na misukosuko ya humu ndani mtu unajituma kwer kwer kupambania jambo lako kumbe jinsia yako hivi hii Ina maana gani labda😳Hawana tofauti na Me walioweka profile pictures "pp" za kike ilihali wao ni Me, huoni jinsi gani dunia haiishiwi vituko Chifu?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app