Zijue faida za kuwa na mke

Zijue faida za kuwa na mke

Nakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.

Wanaume wasiowa hawako salama kiafya kwa sababu wanakabiliwa na ulaji chakula kisicho bora, ulevi wa kupindukia, uzinzi na uasherati na tabia zingine hatari.

Utafiti mwingine wa 2023 wa wanaume 6,800 wenye umri wa kati ya miaka 45 na 84 uliofanywa na Chuo cha Marekani cha Cardiology ulionyesha kuwa wanaume waseja wana uwezekano mara mbili wa kukumbwa na mfadhaiko na kushindwa kwa moyo.
Mapadre wa Katoliki na maaskofu wao wanaishi maisha marefu sana kuliko waliooa nini kinawasaidia?
Utafiti wangu mdogo unaonesha wanaume wengi waliooa hawafi kwasababu ya ulaji hafifu, wanakufa kwa stress kwasababu wanawake wengi baada ya kuolewa wanakuwa pasua kichwa
 
Faida za kuwa na mke ni nyingi sana.

Nakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.

Wanaume wasiowa hawako salama kiafya kwa sababu wanakabiliwa na ulaji chakula kisicho bora, ulevi wa kupindukia, uzinzi na uasherati na tabia zingine hatari.

Utafiti mwingine wa 2023 wa wanaume 6,800 wenye umri wa kati ya miaka 45 na 84 uliofanywa na Chuo cha Marekani cha Cardiology ulionyesha kuwa wanaume waseja wana uwezekano mara mbili wa kukumbwa na mfadhaiko na kushindwa kwa moyo.

Faida iliyo kuu ya kuoa ni hii, "mkeo atakulinda na watu wanaokutumia vibaya. Atalinda sifa yako. Atakufanya uheshimike zaidi".

Na kuna upendeleo maalum kutoka kwa Mungu kwa yeye apataye mke (Mithali 18:22).

Kwa ujumla, wanaume wanapoowa, huwa wanafanya vyema maishani. Ndiyo maana Mungu anawaonya wanaume wasimsahau mke wa ujana wao ambaye aliwasaidia kusimama kwa miguu yao (Mal 2:14-16).

Kwa nini upige punyeto wakati Mungu amekuumbia mwenzako kwa kazi bora ya kibinadamu?

Biblia inasema ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa (1Kor 7:9). Jipatie msichana mzuri, hata kama ni ni 'lishangazi' we oa tu utaenjoy maisha marefu. Wekeza kwenye ndoa yako.

NB : wale team kataa ndoa wengi wao wana matatizo ya afya ya akili, usisikilize ufyatu wao.

Pata mke ufurahie uumbaji wa Mungu.

#Wanawake msome comments tu za wanaume, comments zenu hazihitajiki kwa huu uzi.

Barikiwa.
Naunga mkono hoja 👍👏🤝
 
Faida za kuwa na mke ni nyingi sana.

Nakala ya 2023 ya Ufadhili wa Utafiti wa Afya (HRF) ilionyesha kuwa wanaume walioowa wanaishi miaka 17 zaidi ya wanaume wasio na wenzi.

Wanaume wasiowa hawako salama kiafya kwa sababu wanakabiliwa na ulaji chakula kisicho bora, ulevi wa kupindukia, uzinzi na uasherati na tabia zingine hatari.

Utafiti mwingine wa 2023 wa wanaume 6,800 wenye umri wa kati ya miaka 45 na 84 uliofanywa na Chuo cha Marekani cha Cardiology ulionyesha kuwa wanaume waseja wana uwezekano mara mbili wa kukumbwa na mfadhaiko na kushindwa kwa moyo.

Faida iliyo kuu ya kuoa ni hii, "mkeo atakulinda na watu wanaokutumia vibaya. Atalinda sifa yako. Atakufanya uheshimike zaidi".

Na kuna upendeleo maalum kutoka kwa Mungu kwa yeye apataye mke (Mithali 18:22).

Kwa ujumla, wanaume wanapoowa, huwa wanafanya vyema maishani. Ndiyo maana Mungu anawaonya wanaume wasimsahau mke wa ujana wao ambaye aliwasaidia kusimama kwa miguu yao (Mal 2:14-16).

Kwa nini upige punyeto wakati Mungu amekuumbia mwenzako kwa kazi bora ya kibinadamu?

Biblia inasema ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa (1Kor 7:9). Jipatie msichana mzuri, hata kama ni ni 'lishangazi' we oa tu utaenjoy maisha marefu. Wekeza kwenye ndoa yako.

NB : wale team kataa ndoa wengi wao wana matatizo ya afya ya akili, usisikilize ufyatu wao.

Pata mke ufurahie uumbaji wa Mungu.

#Wanawake msome comments tu za wanaume, comments zenu hazihitajiki kwa huu uzi.

Barikiwa.
Medical studies zote ulizoziainisha zimebase on western community. Yaani gather here na utambuwe, sociological research yeyote ikitolewa inakuwa based on a certain community. Haiapply worldwide sio medical study yenye kuassociate medical aspects bali inabase on social determinants and factors. Hizo conclusion haziapply 90-100% on 3rd world countries maana hata some medical studies hufeli kuwa applied. Huko nje bado amoxicillin ina nguvu dhidi ya UTI ila in 3rd world country meropenem ndio imeanza kuwa ideal drug basing on studies. Hamna kitu hapo boss
 
Hizo ni data za ana Makinda na zimejaa uongo mtupu, mimi mwenyewe sikuhesabiwa halafu mtuambie wanawake ni wengi kuliko wanaume?

Ni uongo mkubwa
Uwiano haupo kwasababu female baby deliveries ni nyingi kuliko male babies. Vitu vingi bado hawatambui. Pia kwenye kujifungua, survival rate ya female babies ni kubwa kuliko male babies, hasa kwenye risk pregnancies.
 
Back
Top Bottom