Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Kama ulikua hujui faida ya POMBE MWILINI wacha nikufahamishe;-
Kila kitu hapa duniani kina faida na hasara,
Sasa leo wacha nikufahamishe faida ya kunywa pombe,
Lakini kabla sijakuletea faida ya pombe mwilini,
Wacha kwanza nikufahamishe pombe ni nini,
Pombe ni neno ambalo linajumuisha aina zote za vilevi unazozifahamu,
Kiafya mwanaume anatakiwa anywe pombe zisizo zidi chupa mbili kwa siku,
Wakati mwanamke anatakiwa anywe chupa moja.
FAIDA ZA POMBE
1) HUPUNGUZA HATARI YA KUPATA MAGONJWA YA MOYO
Unywaji wa pombe kwa kiasi huongeza aina fulani ya lehemu nzuri inayoitwa high density lipopoprotein,
Lehemu hii hulinda moyo lakini pia pombe hulainisha damu,
Na kuifanya iwe nyepesi hivyo kupita kirahisi kwenye mishipa ya damu na kuzuia presha na kiharusi,
Lakini pia kwa kiasi fulani huzuia ugonjwa wa moyo.
2) HUONGEZA UMRI WA KUISHI.
Pombe huongeza umri wa kuishi kwa asilimia 18% zaidi ukilinganisha ja wale wasiokunywa.
3) HUONGEZA NGUVU ZA KIUME.
Pombe huongeza nguvu za kiume kwa asilimia 25% zaidi ya wale wasiokunywa,
Waokunywa pombe ni mashaihidi wa hili kwamba,
Muda ule ukiwa umekunywa pombe hamu inakua juu sana,
Na ukipata mwanamke unafanya vizuri zaidi kuliko ukiwa hujanywa,
Ikiwemo pamoja na kuchelewa sana kufika kileleni na kua na uume wenye nguvu sana kuliko kawaida.
4) HUPUNGUZA HATARI YA KUPATA KISUKARI.
Unywaji wa pombe kwa kiasi huongeza uwezo wa homoni ya insulini kufanya kazi vizuri,
Ambapo hali hii hupunguza hatari ya kupata ugonjwa hatari wa kisukari.
5)HUPUNGUZA UWEZEKANO WA KUPATA UGONJWA WA AKILI.
Unywaji wa pombe kwa kiasi kinacho hitajika,
Hupunguza wa asilimia kubwa kuugua ugonjwa wa akili.
6) HUZUIA KUPATA MAWE KWENYE NYONGO.
Ugonjwa huu kitaalamu unaitwa gallstones,
Pombe hupunguza sana mtu kupata ugonjwa huo.
7) HUUPA MWILI MADINI MUHIMU.
Pombe ina madini muhimu yanayo hitajika mwilini,
Kwasababu pombe nyingi zina vitamin B nyingi aina ya thiamine na riboflavin,
Lakini pia zina calcium na magnesium nyingi,
Ambayo ni muhimu sana kwa jili ya kazi mbalimbali za mfumo wa mwili wa binadamu.
8) POMBE NI MZURI KWA WANAWAKE WENYE ZAIDI YA MIAKA 50.
Baada ya umri wa miaka 50 mwanamke huanza kupata dalili za kupungua kiasi cha homone mwilini kitaalamu kama monopause,
Hali hii husababisha mwanamke kubadilika tabia,
Ikiwemo mwili kuwa na joto zaidi au kushuka zaidi,
Pia wanawake wengine hupatwa na msongo wa mawazo,
Sasa utafiti unaonyesha kwamba kemikali zilizopo ndani ya bia,
Zinaweza kufanya kazi ya kuondoa hali hiyo inayo sababishwa na monopause.
9) HUONGEZA KUMBUKUMBU.
Kama wewe ni mnywaji wa pombe utaamini hiki ninacho kisema,
Kwani mara nyingi ukinywa unaanza kukumbuka mambo ya zamani sana.
10) HUSAIDIA FIGO.
Unywaji wa pombe kwa kiasi kinachotakiwa,
Kunapunguza hatari ya kupata mawe ya figo kwa asilimia 30% zaidi,
Kuliko wale ambao hawanywi pombe kabisa,
Hii ni kwasababu wanywaji wa pombe hukojoa sana na kusafisha figo.
NB;- Faida hizi hupatikana tu kwa wale wanaokunywa pombe,
Kama nilivyoelekeza hapo juu kwa maana ya kiasi kinachohitajika tu kiafya,
Nasio kwa watu wanaokunywa pombe kupitiliza,
Unywaji wa kupitiliza una madhara makubwa sana kiafya.
Kila kitu hapa duniani kina faida na hasara,
Sasa leo wacha nikufahamishe faida ya kunywa pombe,
Lakini kabla sijakuletea faida ya pombe mwilini,
Wacha kwanza nikufahamishe pombe ni nini,
Pombe ni neno ambalo linajumuisha aina zote za vilevi unazozifahamu,
Kiafya mwanaume anatakiwa anywe pombe zisizo zidi chupa mbili kwa siku,
Wakati mwanamke anatakiwa anywe chupa moja.
FAIDA ZA POMBE
1) HUPUNGUZA HATARI YA KUPATA MAGONJWA YA MOYO
Unywaji wa pombe kwa kiasi huongeza aina fulani ya lehemu nzuri inayoitwa high density lipopoprotein,
Lehemu hii hulinda moyo lakini pia pombe hulainisha damu,
Na kuifanya iwe nyepesi hivyo kupita kirahisi kwenye mishipa ya damu na kuzuia presha na kiharusi,
Lakini pia kwa kiasi fulani huzuia ugonjwa wa moyo.
2) HUONGEZA UMRI WA KUISHI.
Pombe huongeza umri wa kuishi kwa asilimia 18% zaidi ukilinganisha ja wale wasiokunywa.
3) HUONGEZA NGUVU ZA KIUME.
Pombe huongeza nguvu za kiume kwa asilimia 25% zaidi ya wale wasiokunywa,
Waokunywa pombe ni mashaihidi wa hili kwamba,
Muda ule ukiwa umekunywa pombe hamu inakua juu sana,
Na ukipata mwanamke unafanya vizuri zaidi kuliko ukiwa hujanywa,
Ikiwemo pamoja na kuchelewa sana kufika kileleni na kua na uume wenye nguvu sana kuliko kawaida.
4) HUPUNGUZA HATARI YA KUPATA KISUKARI.
Unywaji wa pombe kwa kiasi huongeza uwezo wa homoni ya insulini kufanya kazi vizuri,
Ambapo hali hii hupunguza hatari ya kupata ugonjwa hatari wa kisukari.
5)HUPUNGUZA UWEZEKANO WA KUPATA UGONJWA WA AKILI.
Unywaji wa pombe kwa kiasi kinacho hitajika,
Hupunguza wa asilimia kubwa kuugua ugonjwa wa akili.
6) HUZUIA KUPATA MAWE KWENYE NYONGO.
Ugonjwa huu kitaalamu unaitwa gallstones,
Pombe hupunguza sana mtu kupata ugonjwa huo.
7) HUUPA MWILI MADINI MUHIMU.
Pombe ina madini muhimu yanayo hitajika mwilini,
Kwasababu pombe nyingi zina vitamin B nyingi aina ya thiamine na riboflavin,
Lakini pia zina calcium na magnesium nyingi,
Ambayo ni muhimu sana kwa jili ya kazi mbalimbali za mfumo wa mwili wa binadamu.
8) POMBE NI MZURI KWA WANAWAKE WENYE ZAIDI YA MIAKA 50.
Baada ya umri wa miaka 50 mwanamke huanza kupata dalili za kupungua kiasi cha homone mwilini kitaalamu kama monopause,
Hali hii husababisha mwanamke kubadilika tabia,
Ikiwemo mwili kuwa na joto zaidi au kushuka zaidi,
Pia wanawake wengine hupatwa na msongo wa mawazo,
Sasa utafiti unaonyesha kwamba kemikali zilizopo ndani ya bia,
Zinaweza kufanya kazi ya kuondoa hali hiyo inayo sababishwa na monopause.
9) HUONGEZA KUMBUKUMBU.
Kama wewe ni mnywaji wa pombe utaamini hiki ninacho kisema,
Kwani mara nyingi ukinywa unaanza kukumbuka mambo ya zamani sana.
10) HUSAIDIA FIGO.
Unywaji wa pombe kwa kiasi kinachotakiwa,
Kunapunguza hatari ya kupata mawe ya figo kwa asilimia 30% zaidi,
Kuliko wale ambao hawanywi pombe kabisa,
Hii ni kwasababu wanywaji wa pombe hukojoa sana na kusafisha figo.
NB;- Faida hizi hupatikana tu kwa wale wanaokunywa pombe,
Kama nilivyoelekeza hapo juu kwa maana ya kiasi kinachohitajika tu kiafya,
Nasio kwa watu wanaokunywa pombe kupitiliza,
Unywaji wa kupitiliza una madhara makubwa sana kiafya.