Zijue faida za Pombe

Mkuu bora uukate tu!
ulikoota kulikuwa na dampo kabla ya nyumba kujengwa hapo, kuna ka mboleambolea hapo kulikoota mmea huo, naona unakua haraka na kusitawi vema, ndio kwanza naushangaa mmea huo maarufu kwa mtazamo kuwa ni dawa ya kulevya. Nitaung'oa isiwe taabu, kuna vijana wavuta bangi jirani wakiuona itakuwa ni chumo lao
 
Hapo kwenye pombe ni nini ? Umedanganywa .๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
๐Ÿ‘‰Pombe ni kinywaji chochote cha alcohol ambayo nayo ni aina ya kilevi.
Siyo kilevi chochote ....vipo vilevi vingi visivyo pombe....madawa ya kulevya ya aina mbalimbali ,madawa ya kulevya siyo pombe


Hili kitu kiitwe pombe ni lazima kiwe na sifa hizi
1) lazima kiwe ni kinywaji
2)lazima kiwe na alcohol
3)lazima kilevye
 
Moderation is the secret kwenye kila kitu duniani!
 
Namba tisa umepatia,, hapa wanangu walishaenda shule,, baba watoto nimemfunga mkanda kaondoka Niko kwenye kiofisi changu namalizia mabaki ya Jana nikisindikizwa na rhumba la madilu linaitwa Blessure d' amoure.
 
L ada kama alivyoshauri Dr janabi kwamba unywe chupa moja tu ya bia na si spirit.
 
Chai tu kama chai nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ