Mkuu miji inakua ile watu wanatoka kwenye kutumia boda boda kuvusha mishangazi na mitaa kama yoteUfanye biashara ya bolt au tax mkata,kabuku au handeni mjini? Basi wewe utakua chizi sasa mkata aende wapi
Watu tumeishi Tabora na tumepata pesa nyingi na huo uchawi haukuwahi kutupata acha kukalili mkuuUmakaririshwa ivo life circle yako itaishi humo humo
Si ajabu hadi leo unaamini
Wahehe wanakula mbwa,
Tanga ndiko mapenzi yaliko zaliwa
Mtwara wanakula panya
Wapare wanakula ugali kwa picha ya samaki
na scandal nyingine za kipuuzi
Mkata,segera,hiyo kabuku na vumbi lile jekundu bado sana all in all mkata pako poa sana aiseeeMkuu miji inakua ile watu wanatoka kwenye kutumia boda boda kuvusha mishangazi na mitaa kama yote
Hiyo ni kwa kuanza kumbuka siku zote muanzilishi ndio anakuwa first kukutwa na upepo wa mafanikio jitose upige pesa
Usiogope mkuu kuwa the first kuanzisha kitu usingoje wenzio waanzishe nawewe uige mimi nimekuibia lonja ni juu yako kutake risk au ungoje kuigaSa
sa nyie wasomaji njoeni kichwa kichwa aisee mpigwe yaani ufanye bolt au tax mkata ili uende wapi uende kwa msisi?,kabuku uende kwa mjinga,handeni mjini uende kilindi? Mleta mada nahisi ni mgeni wa wilaya ya handeni anataka kuparamia kila anachokiona usiende kwa pupa mkuu hauwezi kunidanganya kuhusu huko handeni napajua hasa?
Hongera mkuu kwa kuizunguuka handeni naamini utakuwa umeona fursa mbalimbali za miji na vijiji ulivyotaja hizo nilizotaja nimedokeza tu kwa maono yanguMkata,segera,hiyo kabuku na vumbi lile jekundu bado sana all in all mkata pako poa sana aiseee
kamaHongera mkuu kwa kuizunguuka handeni naamini utakuwa umeona fursa mbalimbali za miji na vijiji ulivyotaja hizo nilizotaja nimedokeza tu kwa maono yangu
Vipi kwa maono yako?
Ni kweli mkata pamechangamka sana na uzi wangu biashara nyingi nimelenga mkata
Unataka kwenda mkata sikufichi nakuunga mkono asilimia Mia pamechangamka mno na biashara zinaenda sana mkuuHongera mkuu kwa kuizunguuka handeni naamini utakuwa umeona fursa mbalimbali za miji na vijiji ulivyotaja hizo nilizotaja nimedokeza tu kwa maono yangu
Vipi kwa maono yako?
Ni kweli mkata pamechangamka sana na uzi wangu biashara nyingi nimelenga mkata
Huko ndio nyumbani kwa masharifu.Nchi hii imejaa utajiri kila mahali leo nitakujuza fursa mbalimbali zinazopatikana Handeni mkoani Tanga
1. Uuzaji wa magogo na Mbao
Hii ni moja ya biashara kubwa sana itakayokuingizia kipato kikubwa kwa muda mfupi sana ilimradi uwe full kwenye vibali vya maliasili ili usisumbuane nao
Misitu mingi ni misitu asili ambayo serikali huzuia ukataji miti ovyo kwahiyo ukija na mbadala wa miti ya mbao utapiga pesa nyingi sana kwani karibia 60% ya wakaazi wa mji huo ni mafundi selemala
2. Umiliki wa machine za kuranda na kuchana mbao
Kama unaijua keko ya Dar es salaam ilivyo basi nenda Handeni, hasa maeneo ya Mkata, kabuku na Handeni mjini
Ukiweza kumiliki mitambo ya uchanaji mbao na ukaweza kupiga kazi usiku na mchana utapiga pesa ndefu sana. Wengi wanafanyaga kazi usiku kuogopa maliasili kwahiyo lazima uwe popo ili kupata wateja wa uhakika
3. Kama una uhakika wa soko la fernitures kawekeze kwa mafundi wadogo wadogo
Watakutengenezea ferniture nzuri kwa bei rahisi sana kisha ukauza kwa bei itakayokupa faida kubwa. Ukiwa wewe ndio boss wao watakutengenezea na kukupa ukauze ukija unawakatia chao cha muhimu uaminifu tu
4. Kuuza mbuzi wa kuchinja au kuwauzia wachinjaji
Hii ni biashara kubwa sana hasa maeneo ya mkata, aisee wajomba ni wanakula mbuzi balaa na wengine na vigari vyao vya laki mbili ni wanabeba kuja nazo mjini hii itakufanya uwe tajiri bila wewe mwenyewe kujua
5. Hardware au duka la vifaa jenzi
Miji kama mkata, kabuku, segera, Handeni mjini, Kilindi n.k inakua kwa kasi sana. Watu wanafumua mijengo ya maana ukiweza kuwa na hardware ya kuaminika na ukazoeleka haraka utapiga mpunga wa maana kwa muda mchache sana
Kwa leo nitaishia hapo tukutane part two kwa wale wenye vimitaji vya kuunga unga kama mimi
Part two
Kama hujaona fursa Handeni acha nikujuze, acha kuamini mazingahombwe wekeza na ufanye biashara kwa ukubwa upate pesa utoke kwenye umasikini. Kwa wenye mitaji midogo fursa ni kama zifuatazo
6. Kuuza kuku na mbuzi wa kuchoma na kukaanga
Hii biashara ukiifanya kwa weledi na ukaacha uvivu kwa siku waweza funga na 50k faida kwa mtaji mdogo tu. Uzuri wauza mbuzi pia wanakopesha ukishauza unawapa chao ukienda nao fuleshi
7. Kuuza kuku wazima
Hawa wanatoka mashambani ukiwa mzoefu hutakuwa na ulazima wa kuwafuata huko mashambani unatega tu njiani wanakuja na wakulima. Utanunua kwa bei ndogo kabisa na kuuza kwa bei kubwa
8. Kuuza maji kwenye matoroli au ukiweza unachimba kisima
Ukiweza kuchimba kisima ndio vizuri, utaagiza maji kwenye magari halafu unauza kwa dumu au ndoo. Handeni maji ni shida sana ukiwekeza vizuri kwenye supply ya maji utatoboa haraka
9. Kama una kigari cha mkopo kifanye tax au bolt
Hii kitu bado ngeni ukiwa muanzilishi utaokota hela za bure. Maeneo kama Mkata na Handeni mjini kuna vibosile wengi sana na mishangazi huwezi kukosa 50k per day
10. Fanya umachinga wa bidhaa ndogo ndogo
Ukiachana na usajili wa laini hii fursa wengi bado hawajaiona, ukifanya kama wafanyavyo dar na majiji mengine makubwa ya kutembeza vitu mbalimbali (umachinga) utapiga hela sana watu wengi siku hizi ni wavivu kwenda dukani au sokoni
Karibu mwana Handeni mwenzangu uongezee fursa wadau wapate kusaidika
Handeni washirikina sana kule ushirikina ni ibada km ibada nyingine.Nchi hii imejaa utajiri kila mahali leo nitakujuza fursa mbalimbali zinazopatikana Handeni mkoani Tanga
1. Uuzaji wa magogo na Mbao
Hii ni moja ya biashara kubwa sana itakayokuingizia kipato kikubwa kwa muda mfupi sana ilimradi uwe full kwenye vibali vya maliasili ili usisumbuane nao
Misitu mingi ni misitu asili ambayo serikali huzuia ukataji miti ovyo kwahiyo ukija na mbadala wa miti ya mbao utapiga pesa nyingi sana kwani karibia 60% ya wakaazi wa mji huo ni mafundi selemala
2. Umiliki wa machine za kuranda na kuchana mbao
Kama unaijua keko ya Dar es salaam ilivyo basi nenda Handeni, hasa maeneo ya Mkata, kabuku na Handeni mjini
Ukiweza kumiliki mitambo ya uchanaji mbao na ukaweza kupiga kazi usiku na mchana utapiga pesa ndefu sana. Wengi wanafanyaga kazi usiku kuogopa maliasili kwahiyo lazima uwe popo ili kupata wateja wa uhakika
3. Kama una uhakika wa soko la fernitures kawekeze kwa mafundi wadogo wadogo
Watakutengenezea ferniture nzuri kwa bei rahisi sana kisha ukauza kwa bei itakayokupa faida kubwa. Ukiwa wewe ndio boss wao watakutengenezea na kukupa ukauze ukija unawakatia chao cha muhimu uaminifu tu
4. Kuuza mbuzi wa kuchinja au kuwauzia wachinjaji
Hii ni biashara kubwa sana hasa maeneo ya mkata, aisee wajomba ni wanakula mbuzi balaa na wengine na vigari vyao vya laki mbili ni wanabeba kuja nazo mjini hii itakufanya uwe tajiri bila wewe mwenyewe kujua
5. Hardware au duka la vifaa jenzi
Miji kama mkata, kabuku, segera, Handeni mjini, Kilindi n.k inakua kwa kasi sana. Watu wanafumua mijengo ya maana ukiweza kuwa na hardware ya kuaminika na ukazoeleka haraka utapiga mpunga wa maana kwa muda mchache sana
Kwa leo nitaishia hapo tukutane part two kwa wale wenye vimitaji vya kuunga unga kama mimi
Part two
Kama hujaona fursa Handeni acha nikujuze, acha kuamini mazingahombwe wekeza na ufanye biashara kwa ukubwa upate pesa utoke kwenye umasikini. Kwa wenye mitaji midogo fursa ni kama zifuatazo
6. Kuuza kuku na mbuzi wa kuchoma na kukaanga
Hii biashara ukiifanya kwa weledi na ukaacha uvivu kwa siku waweza funga na 50k faida kwa mtaji mdogo tu. Uzuri wauza mbuzi pia wanakopesha ukishauza unawapa chao ukienda nao fuleshi
7. Kuuza kuku wazima
Hawa wanatoka mashambani ukiwa mzoefu hutakuwa na ulazima wa kuwafuata huko mashambani unatega tu njiani wanakuja na wakulima. Utanunua kwa bei ndogo kabisa na kuuza kwa bei kubwa
8. Kuuza maji kwenye matoroli au ukiweza unachimba kisima
Ukiweza kuchimba kisima ndio vizuri, utaagiza maji kwenye magari halafu unauza kwa dumu au ndoo. Handeni maji ni shida sana ukiwekeza vizuri kwenye supply ya maji utatoboa haraka
9. Kama una kigari cha mkopo kifanye tax au bolt
Hii kitu bado ngeni ukiwa muanzilishi utaokota hela za bure. Maeneo kama Mkata na Handeni mjini kuna vibosile wengi sana na mishangazi huwezi kukosa 50k per day
10. Fanya umachinga wa bidhaa ndogo ndogo
Ukiachana na usajili wa laini hii fursa wengi bado hawajaiona, ukifanya kama wafanyavyo dar na majiji mengine makubwa ya kutembeza vitu mbalimbali (umachinga) utapiga hela sana watu wengi siku hizi ni wavivu kwenda dukani au sokoni
Karibu mwana Handeni mwenzangu uongezee fursa wadau wapate kusaidika
Tembea uone, wenzako Wanapiga hela kimya kimya. hiyo mikoa yote uliyo taja Watu wanavuna Mali asili kimya kimya,Tanga, Tabora, Katavi, Rukwa, Kigoma, Mwanza, Geita, Shinyanga hii mikoa na ushirikina ni chanda na pete.
Mwambie wewe mkuu fursa zote hizo yeye aone uchawi tuTembea uone, wenzako Wanapiga hela kimya kimya. hiyo mikoa yote uliyo taja Watu wanavuna Mali asili kimya kimya,
Geita Kuna dhahabu, ardhi nzuri ya kilimo, soko kubwa la bidhaa kutokana na wingi wa Watu.
Tabora kuna asali, ardhi nzuri ya kilimo, soko kubwa la bidhaa kutokana na wingi wa Watu maeneo ya mjini, biashara ya mifugo nayo mwake kutokana na uwepo wa kuku,mbuzi, ng'ombe nk.
Kwa ufupi fursa zipo inategemea ww unatafuta nini.
MTU HUONA KILE ANACHO KITAZAMA.
Mwambie wewe mkuu fursa zote hizo yeye aone uchawi tuTembea uone, wenzako Wanapiga hela kimya kimya. hiyo mikoa yote uliyo taja Watu wanavuna Mali asili kimya kimya,
Geita Kuna dhahabu, ardhi nzuri ya kilimo, soko kubwa la bidhaa kutokana na wingi wa Watu.
Tabora kuna asali, ardhi nzuri ya kilimo, soko kubwa la bidhaa kutokana na wingi wa Watu maeneo ya mjini, biashara ya mifugo nayo mwake kutokana na uwepo wa kuku,mbuzi, ng'ombe nk.
Kwa ufupi fursa zipo inategemea ww unatafuta nini.
MTU HUONA KILE ANACHO KITAZAMA.