Zijue kampuni kubwa za computer duniani na nchi zinazozimiliki!

Zijue kampuni kubwa za computer duniani na nchi zinazozimiliki!

MTV MBONGO

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2016
Posts
1,281
Reaction score
1,251
1. Dell-Marekani
2. Compaq-Marekani
3. Apple-Marekani
4. IBM-Marekani
5. HP-Marekani
6. Acer-Taiwan
7. Asus-Taiwan
8. Toshiba-Japan
9. Lenovo-China
10. Packard Bell-Netherlands
11. Samsung-Korea Kusini
Changamoto:
A. Afrika hatuna kampuni inayofanya vizuri ktk sekta hizo.
B. India ipo juu sana ktk teknolojia ya komputa lakini kampuni zake hazijulikani sana wakati bidhaa zao zimejaa Bongo, kulikoni?

N.B: Masahihisho na nyongeza yanakaribishwa!
 
Back
Top Bottom