Zijue namba za magari ya Tanzania! Pamoja na namba maalum za magari ya viongozi, Serikali na Taasisi za Umma kwa ujumla


Pia Kuna zile gari za ikulu zinakuwepo kwenye msafara wa raisi zina herufi E maana yake ni Escort
 
Hivi ndugu zangu naomba kueleweshwa maana ya kifupi cha maneno haya.
PLATE NAMBA
SU, KJ, JW, MT, DFP, SM, J 1, W ST, KP, STK, STJ, RC, DC, hayo machache tu tusaidiane kujua na kama kuna mengine ongezeeni ili tupate kujulishana. asante ni hayo tu.

SU=SHIRIKA LA UMMA
Sm=Serikali za Mitaa
DFP=Donor Fundes Project (nipo tayar kurekebishwa)
RC=Regional Commissioner
DC=District Commissioner
JW=Jeshi la wananchi
 
STK, ST

STK, STJ -serikali ya Tanzania hizo K na J ni series za magari. Zilikuepo STA, STB, STC, STD, STE, STF, STG ila nyingi zimechoka coz ni za zamani hazionekani road. Siku hizi utaanza STH, STI, STJ, STK, STL ndo zipo
STI waliskip haikuwepo wakaenda STJ
 
DFP ni Donor Funded Project na si lazima iwe WB
 
ni Donor.foundation programs saiv znaitwa DFPA donor.founfation program agency.huwa ni.magar ya msaada wa benk.ya dunia under USAID
DFPA,ile A sio Agency.
Maana yake namba za DFP zimeisha wanaanza na A then baadae itakuja DFPB,DFPC na kuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…