ukishajua itakusaidia nini??
mengine niHabari zenu, naomba mwenye kujua kirefu na maana ya hizi plate number atulijulishe kwa faida ya wengine pia.
DFP
DFPA
STK
STJ
SU
PT
na mengineyo kama haya.
Habari zenu, naomba mwenye kujua kirefu na maana ya hizi plate number atulijulishe kwa faida ya wengine pia.
DFP
DFPA
STK
STJ
SU
PT
na mengineyo kama haya.
Dfp development fund programme
Pt police tanzania
su shirika la uma
mkuuu hope umepata majibu ya hizo nyingine. labda nikueleze kuhusu hizo STJ, STK
ST.. Hizi ni namba za magari ya serikari ambayo yalianza na namba A, B, C, D....na sasa yamefikia L i mean
STA
STB
STC
STD
STG
STH
STJ
STK
STL
na zitaendelea kutoka
STM
STN
STP
STV
STT
STU
STW
STY
STZ
mkuuu hope umepata majibu ya hizo nyingine. labda nikueleze kuhusu hizo STJ, STK
ST.. Hizi ni namba za magari ya serikari ambayo yalianza na namba A, B, C, D....na sasa yamefikia L i mean
STA
STB
STC
STD
STG
STH
STJ
STK
STL
na zitaendelea kutoka
STM
STN
STP
STV
STT
STU
STW
STY
STZ
Utaziona wapi wakati bado hazijafikiwa? Kwa sasa kwanza ndio STL, zimeanza, ukifikilia hiyo STK imekaa muda gani, we unafikiria ni muda mfupi tu, wao wanajua ni idadi gani ikifika wanahamia STM.Sijawahi kuona zaidi ya stk, stj na stl
Sijawahi kuona zaidi ya stk, stj na stl
Dfp development fund programme
Pt police tanzania
su shirika la uma
Nahisi hapo dfp kama umeteleza vile!
we ni mtanzania au mkimbizi mtanzania huji maana ya SU,STK,PT sasa utajua wats per capita income maswali mengine mnajaza server jamani kwa mtaji huu ccm itaendelea kutawala mileleHabari zenu, naomba mwenye kujua kirefu na maana ya hizi plate number atulijulishe kwa faida ya wengine pia.
DFP
DFPA
STK
STJ
SU
PT
na mengineyo kama haya.
Sijawahi kuona zaidi ya stk, stj na stl
STK= sister twende kulala.
tatizo humu jf kuna vilaza wengi, huwezi kujua kila kitu ila huwezi kuacha kujua vitu vidogo kama hivi, kweli akili za watz ziko chini sana labda mleta mada seme alikuwa amefungwa maisha tangu miaka ya 60 katoka jela jana hajui kinachoendelea tanzania ,au ni mkimbizi au ndio wale magaidi wa tanga vinginevyo akachuke file milembeHii tabia ya majibu ya kipuuzi imezidi sana humu ndani leo nawataja wote wenye tabia hii na @mod naomba uchukue hatua kali za kinidhamu dhidi ya watu hawa samora10 Sunshow SIOMIMI Obama wa Bongo