Nchi wanachama wapo 50.Kuna faida gani hapo umeshaona members wake ni Somalia , Afghanistan ,labda ugaidi tu.
Kutolea mfano Somalia na Afghanistan haitoshi.
Kuna Qatar,Indonesia, Malaysia, Saudi Arabia,Iran,Kuwait,Bahrain nchi zote hizo unazionaje kiuchumi!??
Taifa lako la kimaskini linazifikia?