Nchi wanachama wapo 50.Kuna faida gani hapo umeshaona members wake ni Somalia , Afghanistan ,labda ugaidi tu.
Uganda yupo OIC je yeye ni active member wa OIC!???Bangladesh oic imejitoa mwaka gan?
Ambao ndo wanaongoza kuzigongagonga nchi wanachama na wenyewe wapo tu awafanyi chochote, ndiomana nikasema hi ni organization ya kijinga na yakipuuziUmoja huo una machawa wengi wa USA na EU
Kwaiyo unataka kunambia Bangladesh ipo kama Uganda pale OIC?Uganda yupo OIC je yeye ni active member wa OIC!???
Bangladesh ipo kama Uganda pale OIC.Kwaiyo unataka kunambia Bangladesh ipo kama Uganda pale OIC?
Aya tufanye Bangladesh ndo ipo Ivo, Mauritania, Maldives, Gambia?Bangladesh ipo kama Uganda pale OIC.
Na kuna vikao vingi tu hawajahudhuria vya OIC.
Mauritania ni lower-middle income country.Aya tufanye Bangladesh ndo ipo Ivo, Mauritania, Maldives, Gambia?
Halafu mbona unataja taifa moja moja ukitafuta mataifa dhaifu??Aya tufanye Bangladesh ndo ipo Ivo, Mauritania, Maldives, Gambia?
51 sio 57.Kati ya hizo 57 ni zipi zinazofuata sheria za kiisilamu?
Well saidAmbao ndo wanaongoza kuzigongagonga nchi wanachama na wenyewe wapo tu awafanyi chochote, ndiomana nikasema hi ni organization ya kijinga na yakipuuzi
Zanzibar siioni hapo 🐼