Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Kama wengi tunavyojua competition imekuwa kali mno kwenye muziki wa Tz kitu kinachofanya kazi za wasanii wetu kufanya kazi kwa ubora zaidi, siku zote kufeli ndio mama wa kufaulu, wasanii wengi kuna kipindi walifeli walijifunza walipokosea na kurudi wakiwa katika hali nzuri na kuongeza ushindani ndani ya muziki, zifuatazo ni rekodi za wanamuziki mbali mbali katika tasnia ya kimuziki hapa bongo.
MSANII ALIECHUKUA TUZO NYINGI ZA NYUMBANI KWA MPIGO
Mwaka 2014 Diamond alizoa tuzo 7 kwa mpigo kilimanjaro awards na hadi sasa ndiye anaeshikilia usukani kwenye wasanii waliochukua tuzo nyingi hapa Tanzania
MSANII ALIEFANIKIWA NA BAADAE KUFULIA
Mr. Nice wa Takeu style kuku kapanda baiskel bata kavaa raizoni, huyu msanii alifanikiwaga sana tu ila cha kushangaza kwa sasa ni mtu asiye na mbele wala nyuma katika maisha yake.
MSANII ALIERUDI KASI BAADA YA KUKAA KIMYA
Ni King Kiba kama anavyojiita baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu ally kiba alirudi kwa kasi mpya kwa kutoa hitsongs kama mwana na chekecha.
MSANII ANAETOA VIDEO BORA
Diamond again, Kiukweli huyu kijana video anazofanya ni za kiwango cha juu mno na huwa zinahitaji pesa nyingi sana ili zikamilike
MSANII WA TZ MWENYE TUZO NYINGI ZA KIMATAIFA
Ni Diamond tena kuna kuna kipindi ashawai kukwapua tuzo 3 za kimataifa kwa mpigo, ni juzi tu kachukua tuzo ya MTV mama na nyingine ya africa archievers awards nyingine bado zinasubiri.
MSANII MWENYE NGUVU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
Huyu kijana wetu D a.ka Diamond huko mitandoni ni gumzo kwa sasa kwenye mtandao tu wa instagram ana followers zaidi ya 860,000 soon mungu akipenda anaingia na follower milioni.
WASANII WALIOCHUJA HARAKA
Hapa kwa kusema kweli Belle 9 na Hussein Machozi ndo panawafaa, Belle 9 na Hussein Machozi kwa sasa wamechuja kwa haraka mno, hawa wasanii washawai kutoa hitsongs kali sana ila kwa sasa mambo yameenda mrama
MSANII ALIEFANYA KOLABO YA KIDUNIA
Hapa ni Ally kiba, kuna kipindi aliitwa na R.Kelly kwenda kujiunga na kundi la one8 na kutoa single ya hands across the world, kiukweli ilikuwa ni hit song ilitamba dunia nzima yaani international level.
WASANII WASIOCHUJA
Waliwakuta wasanii wengi wakaaachwa wanahit, walikutwa na wasanii wengi waliachwa bado wanahit, hapa nawazungumzia lady jayd, Ay , Mwana fa na professor J , heshima mbele kwao hawa wasanii kiukweli they have to be inspired.
MSANII ANAYETENGENEZA PESA NYINGI
Hapa ni Diamond tena kwanza kabisa show zake ni kawaida kukuta viingilio vya laki mbili na ukikuta kiingilio cha chini kabisa yaani wale wenye ticket za kawaida basi ni elf 50 na ikitokea bahati basi mtazamia kwa elfu 30, huu ni uthibitisho tosha kabisa mapromoter wanaoandaa hizi show wanampa mpunga mrefu mno ambao umemsaidia kujenga nyumba kali na kuride ndinga hatari.
MSANII ALIECHUKUA TUZO NYINGI ZA NYUMBANI KWA MPIGO
Mwaka 2014 Diamond alizoa tuzo 7 kwa mpigo kilimanjaro awards na hadi sasa ndiye anaeshikilia usukani kwenye wasanii waliochukua tuzo nyingi hapa Tanzania
MSANII ALIEFANIKIWA NA BAADAE KUFULIA
Mr. Nice wa Takeu style kuku kapanda baiskel bata kavaa raizoni, huyu msanii alifanikiwaga sana tu ila cha kushangaza kwa sasa ni mtu asiye na mbele wala nyuma katika maisha yake.
MSANII ALIERUDI KASI BAADA YA KUKAA KIMYA
Ni King Kiba kama anavyojiita baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu ally kiba alirudi kwa kasi mpya kwa kutoa hitsongs kama mwana na chekecha.
MSANII ANAETOA VIDEO BORA
Diamond again, Kiukweli huyu kijana video anazofanya ni za kiwango cha juu mno na huwa zinahitaji pesa nyingi sana ili zikamilike
MSANII WA TZ MWENYE TUZO NYINGI ZA KIMATAIFA
Ni Diamond tena kuna kuna kipindi ashawai kukwapua tuzo 3 za kimataifa kwa mpigo, ni juzi tu kachukua tuzo ya MTV mama na nyingine ya africa archievers awards nyingine bado zinasubiri.
MSANII MWENYE NGUVU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
Huyu kijana wetu D a.ka Diamond huko mitandoni ni gumzo kwa sasa kwenye mtandao tu wa instagram ana followers zaidi ya 860,000 soon mungu akipenda anaingia na follower milioni.
WASANII WALIOCHUJA HARAKA
Hapa kwa kusema kweli Belle 9 na Hussein Machozi ndo panawafaa, Belle 9 na Hussein Machozi kwa sasa wamechuja kwa haraka mno, hawa wasanii washawai kutoa hitsongs kali sana ila kwa sasa mambo yameenda mrama
MSANII ALIEFANYA KOLABO YA KIDUNIA
Hapa ni Ally kiba, kuna kipindi aliitwa na R.Kelly kwenda kujiunga na kundi la one8 na kutoa single ya hands across the world, kiukweli ilikuwa ni hit song ilitamba dunia nzima yaani international level.
WASANII WASIOCHUJA
Waliwakuta wasanii wengi wakaaachwa wanahit, walikutwa na wasanii wengi waliachwa bado wanahit, hapa nawazungumzia lady jayd, Ay , Mwana fa na professor J , heshima mbele kwao hawa wasanii kiukweli they have to be inspired.
MSANII ANAYETENGENEZA PESA NYINGI
Hapa ni Diamond tena kwanza kabisa show zake ni kawaida kukuta viingilio vya laki mbili na ukikuta kiingilio cha chini kabisa yaani wale wenye ticket za kawaida basi ni elf 50 na ikitokea bahati basi mtazamia kwa elfu 30, huu ni uthibitisho tosha kabisa mapromoter wanaoandaa hizi show wanampa mpunga mrefu mno ambao umemsaidia kujenga nyumba kali na kuride ndinga hatari.