Zijue sababu 10 za wanawake walioolewa kuchepuka

grand millenial
Sijawahi ona ndoa ya dame ameolewa bikra na akawa & skendo ya kucheat au ndoa hio ikawa na kiwango kikubwa cha ukosefu wa amani.
SIJAWAHI KUONA
Kama nilivyosema ni kwamba ukiona bikra katulia jua ana hofu ya mungu na dini ameisoma ipo moyoni ila kinyume na hapo utachapiwa tena kimya kimya mnoo hata kujua hautokaa ujue .

Kuna jamaa mmoja kwa kabila anatokea maeneo ya kaskazini na mke wake ni wa kanda za kati mkoa mmoja wapo , huyu jamaaa kiukweli anampenda sana mke wake na sababu kubwa ni amemkuta yupo sealed .

Na anakuambia kipindi amekwisha kuoa kwa mila za kwao ambazo coincidently zimelandana na za upande wa mke wake huwa upande wa mume wanatoa shuka nyeupe na kisha inatandikwa kitandani kwa wanandoa kwa usiku wa kwanza .

Na chumba cha mume na mke huwa hakina kitu chochote zaidi ya kitanda peke yake , sasa wanandoa wakishaingia humo huwa asubuhi shuka inachukuliwa na wananzengo wanaangalia ikiwa na damu inagawiwa vipande viwili kisha , upande wa mke wanapewa chao na mume pia chao .

Na hapo sasa mke ataheshimika mno na kupewa zawadi kem kem.

Shughuli imekuja baaada ya jamaa kuja na mke wake town , mkuu yule mwanamke anapigwa miti mbaya mbovu mbaya zaidi jamaaa hawezi kumuacha aampenda sanaa .

Na mara zote huwa anajihisi labda yeye ndo kamkosea .

Nimekuelezea hivyo ili ujue kuwa umalaya ni tabia ya mtu na kuibadili mpaka yeye mwenyewe aamue kubadilika bila hivyo hakuna kitu.

Na ndiyo maana ninaendelea kuwasaidia kuwavunjia sealed za mabinti zenu pamoja na kula watawa (no offence kwa itakayemuudhi hii post ila no way out).
 
Kuchepuka ni kama mafuriko. Mafuriko hayaepukiki, Kikubwa tuchukue tahadhari
 
Zote za kufikirika halafu zinahusu walioajiriwa tu
 
Doh! You have said it all..
 
Siku hiz married women kinachofanya wachepuke ni hiki👇

👉Good sex and heavy
👉Kupunguza stress

Hizo ndo sababu kuu.

Siku hiz ni rahis kumtafuna mke wa mtu kuliko demu wa kawaida.
💯☑️
 
😁😁
 
Namba 7 umeuaa...

Na sijui ni kwa nn huwa inatokea hvyo
 
Hapa pa masomo hapa, ukishamuona mke wako uwezo wake wa akili ni average, akitaka kujiendeleza huko shule atatafuta msaada tu. kama ana hela Kuna vipanga wanafanya assignment kwa malipo, Kama hela hakuna kutakua na njia mbadala ya malipo.
Ni pipe tu... Mpaka akimaliza chuo millage inasoma digit za kutosha
 
Hiyo ya mababu niliiskiaga aisee
 
11. Kupata mwanamme wa kumchezea akili na kula hela zake (kama wafanyavyo mademu wa Kichagga).
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…