Zijue sababu 10 za wanawake walioolewa kuchepuka

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]JF ni burudani ya aina yake. Nimecheka sana lol!
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Reactions: BAK
Acha hizo
 
Namba 10 hapo ndo daily utani kunoma huko maofisini mwanamke kama hajielewi kukumbatiwa kwa sana wengine wanashika mpaka papa yake wanapima oil, Manyonyo watomasa toma

Wao kazi kucheka tu then anapigwa kimtindo wakienda safari za kazi wazee wa per diem
 
Ndio maana wazee huwa wanapiga miluzi wanapokaribia home ili kama kuna jamaa amalize na kusepa maana mwenye mji amerudi mambo ya kufumania hayafai kula uondoke.
 
Hiyo hiyo ya wake zetu inatosha.
Nakuomba radhi usianzishe uzi wa kutuhusu wanaume.
Naona unatafta sifa tuu tujue unajua mambo mengi
 
Hiyo hiyo ya wake zetu inatosha.
Nakuomba radhi usianzishe uzi wa kutuhusu wanaume.
Naona unatafta sifa tuu tujue unajua mambo mengi
Mkuu umewaza nini?

[emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo kwenye rafiki wa kike anaishi peke ake, kuwaza kuna la zaidi mpaka uwe unafikria kijambazi like,
 
Watawa tena????????, We jamaa
 
Kwahiyo women career ni Malaya.
 
11 mume kushindwa kumkojoza mkewe
12 visasi hasa kama mume alichepuka akajua na yeye analipiza kwa kuchepuka
13 ugumu wa maisha
14 ma x, wengine huolewa ila akikutana na x wake anampa vizuri tu.

Sababu ni nyingi sana
 
Mtu yoyote yule alowahi kusex kabla ya kuingia kwenye ndoa anauwezo mkubwa wa kuchepuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…