Zijue sababu za jeshi letu JWTZ kutokutoa kichapo kingine kwa M23, kama tulivyotoa mwaka 2013 hadi 2014

Halafu shida Sheria za munisco/UN ndyo tatizo pia,yaani kazi yao ni kulinda amani eti waasi wanavamia lakini wewe unaevamiwa usilete madhara kwa anaekuvamia. Hili kikwete alitishia kuondoka askari wake kwasababu ya hii sheria
Hapo ndipo lilipo tatizo. Yani wewe ushambuliwe, lkn usishambulie!!

Huu si upuuzi kbs.
 
hivi unajua manufaa ya kibiashara kwa nchi dhidi ya kufanya biashara na Kongo, kabla ya kupost kafanye utafiti
Tunamanufaa kwa nchi zote mbili. Hivyo hatuwezi kuingia kwenye matatizo ya kiuchumi kwa jiran mmoja kwa ajili ya kumsaidia jiran mungine katika ugomvi usiotuhusu.
 
Ok, sasa hao wanaolinda Amani ni Amani gani tofauti na hii ya vifo vya raia na wengine kupoteza makazi yao
Hakuna cha kulinda amani. Congo ni shamba la bibi. Hivyo kila nchi imetuma jeshi lake kwenda kuiba dhahabu na rasilimali zingine kupitia mgongo wa kwenda kulinda amani.
 
Kwani wakati wa JK kagame alikuwa hapitishi mizigo yake Dar port?
Upitishaji ulikuwa mdogo ukilinganisha na kipindi cha nyuma kabla ya mzozo na kipindi cha mbele baada ya mzozo.

Na kulikuwa na mipango ya kuhakikisha Rwanda inaanza kutumia bandari ya Mombasa.
 

Attachments

  • Screenshot_20250127-183802.jpg
    345.2 KB · Views: 2
tuseme aache kupitshia kwetu ataptshia wapi? hebu amri itoke bhana emu 23 wakafilimbwe
Kama tungeendelea kuwachapa basi wangekomaa na huu mpango pichani ili mizigo yao iwe inapitia huko kwa wenzetu.
 

Attachments

  • Screenshot_20250127-183802.jpg
    345.2 KB · Views: 2
Historia Moja umeisahau. Kuna mwaka Rais wa kwanza wa Zambia Kenneth Kaunda alipinduliwa na jeshi ndani ya masaa machache JWTZ walipindua meza. Ilikua ni awamu ya Mwinyi.
 
Ilikua ni kipindi cha rais Mkapa.
Kilichotokea kwenye zile chochoko ni kwamba wakata Buyoya akitafuta kuungwa mkono kuishambulia Tanzania, pale karibu na mpakani tulikuwa na vijana wana nyege sana ya vita kuliko maelezo.

Wakati jambo lile likijadiliwa bungeni, JK alikuwa ni waziri mambo ya nje, akitoa taarifa bungeni akasema "wakipiga risasi mbili, sisi tutajibu saba".

Kauli ile ilishangiliwa sana na wale vijana. Ghafla Buyoa akatangaza kuwa Tanzania imevamia rasmi Burundi. Ile taarifa ilitanazwakote Uliwenguni, nchi ilistuliwa na taarifa ile kupitia amka na BBC.

Kilichotokea, Buyoya alisogeza majesho yake ndani ya Km 15 kutoka mpakani, kikanuni hapa yeye ndiye alikuwa ameivamia Tanzania, il kilichofanya atamke kuvamiwa, pale kambini wale vijana wenye nyege ya vita wali 'misbehave', waliona wanacheleweshwa , 'wakatoroka', wakaingia Burundi....

Itaendelea...
 
Historia Moja umeisahau. Kuna mwaka Rais wa kwanza wa Zambia Kenneth Kaunda alipinduliwa na jeshi ndani ya masaa machache JWTZ walipindua meza. Ilikua ni awamu ya Mwinyi.
Asante sana mkuu kwa ukumbusho murua kabisa 🤝
 
Tunasubiri muendelezo mkuu ili tuweke kumbukumbu sawa.
 
Kuna mwanajeshi wa Tanzania amefariki Congo anakuja kuzikwa Zanzibar kesho

In shaa Allah nitahudhuria kwenye haya maziko kma nitakua nisharejea kwenye mizunguko
Kifo hutokea popote, iwe Congo, Burundi, Tanzania, Kenya au Msumbiji utakufa tu. So sioni ajabu huyo mwanajeshi kufia Congo kama kifo ilipangwa afie huko maana kuna wengine wanafia Tanzania hapo hapo.
 
Hakuna cha kulinda amani. Congo ni shamba la bibi. Hivyo kila nchi imetuma jeshi lake kwenda kuiba dhahabu na rasilimali zingine kupitia mgongo wa kwenda kulinda amani.
Mkuu ni nchi tuu ikiamua inapeleka jeshi??? Na wanalipwa nani?
 
Mkuu ni nchi tuu ikiamua inapeleka jeshi??? Na wanalipwa nani?
Hapana mimi nazungumzia zile nchi ambazo zimekubaliwa na Congo kupelekea wanajeshi wao huko.

Kulipwa inategemea. Kwa mfano wale waliopelekwa kupitia UN wanalipwa na UN. Kisha wale waliopelekwa kupitia jumuiya ya SADC wanalipwa na Jumuiya ya SADC wakisaidiwa na Umoja wa nchi za Africa mkuu.
 
🛀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…