Zijue Sheria 12 za ajabu ajabu zilizowekwa kisheria katika nchi mbalimbali Duniani

Zijue Sheria 12 za ajabu ajabu zilizowekwa kisheria katika nchi mbalimbali Duniani

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
1) MARUFUKU KUTAFUNA BABLISH/BIG-G UWAPO SINGAPORE

Singapore ilipiga marufuku vitu vyote vinavyofanana na big-g mwaka 1992. Yeyote atakayeingiza bidhaa hii kutoka nje ya nchi, atakayeuza au kutengeneza atakutana na kisheria iwe kulipa faini au kutumikia jela.

2) HUTAKIWI KUWAPA CHOCHOTE NJIWA UWAPO KATIKA MJI WA VENICE.

Njiwa madhuhuli wanaozagaa katika viwanja vya St. Mark wamekuwa wakivutia watalii wengi kutembelea, ambapo wengi wao hutamani kuwapa vitu ili wale.
Hata hivyo, mwaka 2008, utawala wa mji ulipiga marufuku kulisha njiwa hao, na ikiwa utakaidi itakubidi utoboke kuanzia euro 50 (145,398)kama faini.

3) HUKO NCHINI GREECE, VIATU VYA MICHICHUMIO NI MARUFUKU!.

Sehemu mbalimbali za Kihistoria nchini ugiriki, kama Acropolis, hawaruhusu wanawake kuvyaa high heels 👠 ili kuzuia uharibifu wa sanamu na vitu vya kale. Huko Roma pia katika mji wa Colosseum wamepanga kuweka sheria kama hiyo.

5) NI MARUFUKU KUISHIWA MAFUTA UJERUMANI.

Kama utakuwa na mpango wa kwenda ujerumani; endapo utatumia usafiri wa magari huko; hakikisha una mafuta ya kutosha hasa ukipita njia ya Autobahn au njia za Highways. Kuishiwa mafuta hapo ni kosa kisheria, na utakutana na faine kubwa.

Maeneo hayo yanachukuliwa kuwa hayana kipimo maalum cha kukubana speed kwa baadhi ya magari, hivyo kuishiwa kwako mafuta kunaweza kuleta hatari kwa wengine.

6) HUKO AROZONA; USA, NI MARIFUKU KUKATA MTI WA CACTUS 🌵.

Huko Arizona, ukikutwa unakata au umekata huo mmea ambao unaweza kuishi miaka hadi miaka 200, unaweza kutua katika matatizo makubwa sana na waweza kupewa adhabu ya hadi miaka 25 ya kufungwa jela.

7) HURUHUSIWI KUTOA MANENO YASIYOFAA, AU KUPIGA SELFI NA BUDDHA UWAPO SRI LANKA.

Unapopiga selfi na buddha unamgeuzia mgongo. Hii wakazi wa huko huichukulia kama ishara ya utovu wa nidhamu na unaweza kujikuta jela kwa tendo hilo tu. Wakati mwingine unaweza kukatazwa kabisa kupiga picha na sanamu za buddha.

Hata hivyo, sio kosa kuwa na tatoo ya Buddha. Hata hivyo, kuwa mstaharabu, vaa vizuri ziba tatoo yako isionekane, heshimu na usigeuzie mgongo sanamu au kielelezo cha mungu huyo.

8) LAZIMA UWE NA UTHIBITISHO WA NDOA KUPATA CHUMBA CHA GESTI.

Tuchukulie mwanaume na mwanamke mmeenda hotelini au nyumba za kulala wageni, na mnataka kushea chumba ni lazima mtoe utabulisho wa ndoa.
Huko Calfonia kashazini nchini marekani, kwa sheria ya kaunti, ili upewe ruhusa ya kulala pamoja lazima muwe mmeoana.

9) NI MARUFUKU KUTEMBEA KIFUA WAZI HUKO BARCELONA

Ili kuendelea kuweka mji salama, Mji wa Barcelona huko Spain, uliamua kuweka sheria ya kutokutembea kifua wazi kwa watu wote mitaani isipokuwa ukiwa beach na swimmy pools.
Sheria hii ilipitishwa mwaka 2011. Adhabu za faini kwa kutembea kifua wazi kiasi cha euro 260 (756,000 tsh) zitahusika.

10) HUTAKIWI KUTUKANA NCHINI EAE.

Nchini United Arab Emirates, ukitukana unaweza kupigwa faini, jela au kufukizwa nchini. Chini ya kifungu cha nō 373 cha sheria ya UAE, kinachukulia jambo hilo kama ushushwaji wa thamani ya mtu.

Sio tu kutamka, hata matendo, maandiko na mabandiko ya mitandao ya kijamii. Tena, si hayo tu, hata matumizi mabaya ya emoji.

11) HUKO FRANCE; KETCHUP IMEPIGWA MARUFUKU MASHULENI.

Cha ajabu katika sheria hii imewekwa si kwa sababu ipo kwa ajili ya kulinda afya huko mashuleni, laah! Lasivvyo hata mayonnaise ingetakiwa kupigwa marufuku.

Sheria hii imewekwa ili kulinda na kutunza utamaduni wa ufaransa. Hata hivyo inaruhusiwa kutumiwa utumiapo french fries 🍟 angalau mara moja wa wiki.

12) HURUHUSIWI KUACHIA TU KUKU MTAANI WAJIZUNGUKIE.

Nchini Georgia, Quitman; ni marufuku kuachia kuku nje wajizurulie tu.

Kama unamiliki kuku, ni lazima ujue kuwa ni wajibu wako kuwatunza, na ni wajibu kisheria kutowaachilia tu kuku hovyo. Kiufupi kuku wanatakiwa kuwa under control muda wote.
 
-kijijini kwetu ni marufuku kucheka mkubwa akijamba. Hii ni kutesana tu😆
 
1) MARUFUKU KUTAFUNA BABLISH/BIG-G UWAPO SINGAPORE

Singapore ilipiga marufuku vitu vyote vinavyofanana na big-g mwaka 1992. Yeyote atakayeingiza bidhaa hii kutoka nje ya nchi, atakayeuza au kutengeneza atakutana na kisheria iwe kulipa faini au kutumikia jela.

2) HUTAKIWI KUWAPA CHOCHOTE NJIWA UWAPO KATIKA MJI WA VENICE.

Njiwa madhuhuli wanaozagaa katika viwanja vya St. Mark wamekuwa wakivutia watalii wengi kutembelea, ambapo wengi wao hutamani kuwapa vitu ili wale.
Hata hivyo, mwaka 2008, utawala wa mji ulipiga marufuku kulisha njiwa hao, na ikiwa utakaidi itakubidi utoboke kuanzia euro 50 (145,398)kama faini.

3) HUKO NCHINI GREECE, VIATU VYA MICHICHUMIO NI MARUFUKU!.

Sehemu mbalimbali za Kihistoria nchini ugiriki, kama Acropolis, hawaruhusu wanawake kuvyaa high heels 👠 ili kuzuia uharibifu wa sanamu na vitu vya kale. Huko Roma pia katika mji wa Colosseum wamepanga kuweka sheria kama hiyo.

5) NI MARUFUKU KUISHIWA MAFUTA UJERUMANI.

Kama utakuwa na mpango wa kwenda ujerumani; endapo utatumia usafiri wa magari huko; hakikisha una mafuta ya kutosha hasa ukipita njia ya Autobahn au njia za Highways. Kuishiwa mafuta hapo ni kosa kisheria, na utakutana na faine kubwa.

Maeneo hayo yanachukuliwa kuwa hayana kipimo maalum cha kukubana speed kwa baadhi ya magari, hivyo kuishiwa kwako mafuta kunaweza kuleta hatari kwa wengine.

6) HUKO AROZONA; USA, NI MARIFUKU KUKATA MTI WA CACTUS 🌵.

Huko Arizona, ukikutwa unakata au umekata huo mmea ambao unaweza kuishi miaka hadi miaka 200, unaweza kutua katika matatizo makubwa sana na waweza kupewa adhabu ya hadi miaka 25 ya kufungwa jela.

7) HURUHUSIWI KUTOA MANENO YASIYOFAA, AU KUPIGA SELFI NA BUDDHA UWAPO SRI LANKA.

Unapopiga selfi na buddha unamgeuzia mgongo. Hii wakazi wa huko huichukulia kama ishara ya utovu wa nidhamu na unaweza kujikuta jela kwa tendo hilo tu. Wakati mwingine unaweza kukatazwa kabisa kupiga picha na sanamu za buddha.

Hata hivyo, sio kosa kuwa na tatoo ya Buddha. Hata hivyo, kuwa mstaharabu, vaa vizuri ziba tatoo yako isionekane, heshimu na usigeuzie mgongo sanamu au kielelezo cha mungu huyo.

8) LAZIMA UWE NA UTHIBITISHO WA NDOA KUPATA CHUMBA CHA GESTI.

Tuchukulie mwanaume na mwanamke mmeenda hotelini au nyumba za kulala wageni, na mnataka kushea chumba ni lazima mtoe utabulisho wa ndoa.
Huko Calfonia kashazini nchini marekani, kwa sheria ya kaunti, ili upewe ruhusa ya kulala pamoja lazima muwe mmeoana.

9) NI MARUFUKU KUTEMBEA KIFUA WAZI HUKO BARCELONA

Ili kuendelea kuweka mji salama, Mji wa Barcelona huko Spain, uliamua kuweka sheria ya kutokutembea kifua wazi kwa watu wote mitaani isipokuwa ukiwa beach na swimmy pools.
Sheria hii ilipitishwa mwaka 2011. Adhabu za faini kwa kutembea kifua wazi kiasi cha euro 260 (756,000 tsh) zitahusika.

10) HUTAKIWI KUTUKANA NCHINI EAE.

Nchini United Arab Emirates, ukitukana unaweza kupigwa faini, jela au kufukizwa nchini. Chini ya kifungu cha nō 373 cha sheria ya UAE, kinachukulia jambo hilo kama ushushwaji wa thamani ya mtu.

Sio tu kutamka, hata matendo, maandiko na mabandiko ya mitandao ya kijamii. Tena, si hayo tu, hata matumizi mabaya ya emoji.

11) HUKO FRANCE; KETCHUP IMEPIGWA MARUFUKU MASHULENI.

Cha ajabu katika sheria hii imewekwa si kwa sababu ipo kwa ajili ya kulinda afya huko mashuleni, laah! Lasivvyo hata mayonnaise ingetakiwa kupigwa marufuku.

Sheria hii imewekwa ili kulinda na kutunza utamaduni wa ufaransa. Hata hivyo inaruhusiwa kutumiwa utumiapo french fries 🍟 angalau mara moja wa wiki.

12) HURUHUSIWI KUACHIA TU KUKU MTAANI WAJIZUNGUKIE.

Nchini Georgia, Quitman; ni marufuku kuachia kuku nje wajizurulie tu.

Kama unamiliki kuku, ni lazima ujue kuwa ni wajibu wako kuwatunza, na ni wajibu kisheria kutowaachilia tu kuku hovyo. Kiufupi kuku wanatakiwa kuwa under control muda wote.
Hata mimi nyumbani mwangu bigG ni marufuku, hii inatokana na tabia mbaya ya watafunaji huo mpira kwani hupenda kuzibandika au kuzitupa mahali popote hata kwenye kiti cha choo au chini ya hotipoti. Katika hali ya kushangaza unaweza kukuta bigG imebandikwa chini ya mto wa kulalia au ndani ya bibilia au kitabu cha kurani! Kwa kifupi watafunaji wake hurukwa na akili na wote wanakuwa na tabia moja sawa na walaji wa ndizi mbivu barabarani ambao hutupa maganda na kusababisha watembea kwa miguu kukanyaga na kuteleza.
 
Nyumbani kwangu ni marufuku kuchat na simu tukiwa wote sebuleni.

Marufuku kuperuzi kusoma ujumbe au kuwa na simu tukiwa mezani tunakula.

Mimi na shemeji yenu/mama yenu tumeweka marufuku kuchat au kuingia na simu kitandani tukiwa chumbani kwetu! Simu tunaziweka katika meza maalumu zikiwa hewani ikiita unapokea na kuongea ukiwa mezani halafu unaiacha hapo hapo.
 
marufuku kuskiliza au kucheza mziki wa taarabu ukiwa ungalmtd, matejo na kijenge
 
Australia ni kinyume cha sheria kubadilisha balbu ya umeme kama hauna cheti cha umeme.
Kijijini kwetu asingebaki mtu uraiani, maana kila mtu fundi wa kubadilisha bulb!!
 
Hapa kwetu ni marufuku kutomsifia Rais..
 
Back
Top Bottom