Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 663
WanaJF,
Naomba tu-share kuhusu uwepo wa sheria kandamizi, katiri na chinja chinja dhidi wanaume. Baadhi ya sheria hizo ni pamoja na:
Tuje kwenye sheria ya ubakaji niite hivyo (sexual offences special provision Act)-inasemekana sheria hii imeshafanyiwa marekebisho lakini jeuri na madhara ya sheria hii ni makubwa na hasa baada ya kuwekwa vigezo kandamizi dhidi ya wanaume ambavyo wanadai vikifanyika ni ubakaji (kukonyeza demu, kumtomasa au mfadhaiko). wanaume wengi wanatumikia vifungo vya maisha gerezani kutokana na sheria hii, wapo waliofanya hao wanastahili adhabu hiyo lkn wapo wale ambao sheria haikuwatendea haki, au mama kamtongoza kijana na kijana akasepa lkn mama kwa uwezo wake anasingia kumbaka au kashindwa kutoa rushwa kwa hakimu au wapo waliofungwa kwa kukosa fedha za kumlipa wakili mahakamani sasa wanasota magereza. WanaJF, kwa sasa magerezani kuna tabaka la wafungwa ambao kamwe hawawezi kuachiliwa au kutoka gerezani kwa namna yoyote ile hawa ni wakufia huko hususani wenye vifungo vya maisha,miaka 120, 90, 45, 30 na wakati wa kufungwa walikuwa na umri wa miaka 30, 40, 50. kundi hili haligushwi na msamaha wa Rais, hawawezi kutoka kupitia utaratibu wa parole wala wa community service, they are there to stay forever. Hali ni hivyo hivyo kwa sheria ya armed robbery, kwamba kweli wapo waliofanya lkn wapo wengi ambao hawakufanya lakini wanasota magerezani. Wanajamvi na lileta kwenu suala hili mliangalie kila mtu kwa utalaam wake, uzoefu tuchangie ili tuache jazba kwa wale ambao wanadhani maada hii haiwatendii haki. Karibuni.
Naomba tu-share kuhusu uwepo wa sheria kandamizi, katiri na chinja chinja dhidi wanaume. Baadhi ya sheria hizo ni pamoja na:
- Marriage Act
- Sexual offences Special provision Act (SOSPA)
- Armed Robbery
Tuje kwenye sheria ya ubakaji niite hivyo (sexual offences special provision Act)-inasemekana sheria hii imeshafanyiwa marekebisho lakini jeuri na madhara ya sheria hii ni makubwa na hasa baada ya kuwekwa vigezo kandamizi dhidi ya wanaume ambavyo wanadai vikifanyika ni ubakaji (kukonyeza demu, kumtomasa au mfadhaiko). wanaume wengi wanatumikia vifungo vya maisha gerezani kutokana na sheria hii, wapo waliofanya hao wanastahili adhabu hiyo lkn wapo wale ambao sheria haikuwatendea haki, au mama kamtongoza kijana na kijana akasepa lkn mama kwa uwezo wake anasingia kumbaka au kashindwa kutoa rushwa kwa hakimu au wapo waliofungwa kwa kukosa fedha za kumlipa wakili mahakamani sasa wanasota magereza. WanaJF, kwa sasa magerezani kuna tabaka la wafungwa ambao kamwe hawawezi kuachiliwa au kutoka gerezani kwa namna yoyote ile hawa ni wakufia huko hususani wenye vifungo vya maisha,miaka 120, 90, 45, 30 na wakati wa kufungwa walikuwa na umri wa miaka 30, 40, 50. kundi hili haligushwi na msamaha wa Rais, hawawezi kutoka kupitia utaratibu wa parole wala wa community service, they are there to stay forever. Hali ni hivyo hivyo kwa sheria ya armed robbery, kwamba kweli wapo waliofanya lkn wapo wengi ambao hawakufanya lakini wanasota magerezani. Wanajamvi na lileta kwenu suala hili mliangalie kila mtu kwa utalaam wake, uzoefu tuchangie ili tuache jazba kwa wale ambao wanadhani maada hii haiwatendii haki. Karibuni.