Beauty
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 540
- 23
tafadhali, naomba nifahamishwe ASAP baada ya kikao kukaa.Inabidi kikao kikae na kifanye maamuzi hauwezi kurudisha kadi kienyeji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tafadhali, naomba nifahamishwe ASAP baada ya kikao kukaa.Inabidi kikao kikae na kifanye maamuzi hauwezi kurudisha kadi kienyeji
Unakaribishwa sana chama Pekee amabcho ni Mwokozi .Nakuhakikishia hutajuta kamwe kujiunga nasi.Natangaza rasmi nimefikia maamuzi ya kujiunga upinzani, Mwenyekiti naomba nikutafute ili nirudishe card.
Asante w3anachama wote wa infidelity kwa ushirikiano wenu.
Beauty
Nakusubiri mkuu.Hebu twende pm kidogo basi...:A S 8:
Unakaribishwa sana chama Pekee amabcho ni Mwokozi .Nakuhakikishia hutajuta kamwe kujiunga nasi.
Sifa zetu kwa ufupi....
tuna AMANI,UPENDO,TUNAJIAMINI,na FURAHA wakati wote
Nakusubiri mkuu.
Thanks alot, nimekaribia na sifa hizo zote kuu ninazo, natumai nitakuwa muadilifu daima.Unakaribishwa sana chama Pekee amabcho ni Mwokozi .Nakuhakikishia hutajuta kamwe kujiunga nasi.
Sifa zetu kwa ufupi....
tuna AMANI,UPENDO,TUNAJIAMINI,na FURAHA wakati wote
Ni ishu za ukatibu tu basi...ila shssss....nitaziwepa pm kwa kumbukumbu!
Ila si unajua hamna kustaafu jeshi?
tafadhali, naomba nifahamishwe ASAP baada ya kikao kukaa.
Hapana The Finest nipo kimaadili zaidi na si vinginevyo.Tatizo lako Beauty unataka kumuiga Mpendazoe ili ukapate jimbo la kugombea
Hebu twende pm kidogo basi...:A S 8:
:confused2::confused2::confused2::confused2:
Ushindwee na ulegee na utepetee kabisaaa.The same applies kwa infidelators na infedelees wooote.Tena hamfai katika jamii kwa vile mnawafisadi wenzenu.hata huyo ZD ni mwanachama wetu huyo anawadanganya tu hapo!......
:becky::becky::becky::becky:
Huyo mhazini wenu analijua hilo kuwa SIDANGANYIKI hata kidogo....ZD ZD ZD....hebu ngoja niongozee na mhazini mara moja...
pm ni njia ya kuchukua minutes kwa ukamilifu....stop the worries.....
Huyo mhazini wenu analijua hilo kuwa SIDANGANYIKI hata kidogo....
wewe ni mwanachama hai wa INFIDELITY.....!Ushindwee na ulegee na utepetee kabisaaa.The same applies kwa infidelators na infedelees wooote.Tena hamfai katika jamii kwa vile mnawafisadi wenzenu.
Tena nataka utoe vidhibitisho vinginevyo uniombe radhi haraka sana..
am counting.. 100......99...98.......