Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Natangaza rasmi nimefikia maamuzi ya kujiunga upinzani, Mwenyekiti naomba nikutafute ili nirudishe card.
Asante w3anachama wote wa infidelity kwa ushirikiano wenu.
Beauty
Unakaribishwa sana chama Pekee amabcho ni Mwokozi .Nakuhakikishia hutajuta kamwe kujiunga nasi.
Sifa zetu kwa ufupi....
tuna AMANI,UPENDO,TUNAJIAMINI,na FURAHA wakati wote
 
Unakaribishwa sana chama Pekee amabcho ni Mwokozi .Nakuhakikishia hutajuta kamwe kujiunga nasi.
Sifa zetu kwa ufupi....
tuna AMANI,UPENDO,TUNAJIAMINI,na FURAHA wakati wote

ZD ZD ZD....hebu ngoja niongozee na mhazini mara moja...
 
Unakaribishwa sana chama Pekee amabcho ni Mwokozi .Nakuhakikishia hutajuta kamwe kujiunga nasi.
Sifa zetu kwa ufupi....
tuna AMANI,UPENDO,TUNAJIAMINI,na FURAHA wakati wote
Thanks alot, nimekaribia na sifa hizo zote kuu ninazo, natumai nitakuwa muadilifu daima.
 
Ni ishu za ukatibu tu basi...ila shssss....nitaziwepa pm kwa kumbukumbu!
Ila si unajua hamna kustaafu jeshi?

hapana siwezi kutumikia mabwana wawili, upinzani unanitosha..SIDANGANYIKI 2010.
 
Pheew.............
hatimaye wanachama wanaanza kurudi mmoja baada ya mwingine!!
 
bado sijaona mwanachaa wa kurudi bana!
hehehehe
 
hata huyo ZD ni mwanachama wetu huyo anawadanganya tu hapo!......
:becky::becky::becky::becky:
 
The Following 12 Users Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

Acid (Yesterday), Asprin (Yesterday), ChiefmTz (Yesterday), Dark City (Yesterday), Fidel80 (Yesterday), Kaizer (Yesterday), Masikini_Jeuri (Today), MasterMind (Today), mikela (Yesterday), PakaJimmy (Yesterday), Roya Roy (Yesterday), The Finest (Yesterday)

Kwenye hii Group naona PJ pekee ndo hakubaliani na hii hoja wengine lalalalalalah
Teamo na wewe wakati unapost cjui ulikuwa na hangover ya castle lite :confused2::confused2:
 
hata huyo ZD ni mwanachama wetu huyo anawadanganya tu hapo!......
:becky::becky::becky::becky:
Ushindwee na ulegee na utepetee kabisaaa.The same applies kwa infidelators na infedelees wooote.Tena hamfai katika jamii kwa vile mnawafisadi wenzenu.
Tena nataka utoe vidhibitisho vinginevyo uniombe radhi haraka sana..
am counting.. 100......99...98.......
 
wewe ni mwanachama hai wa INFIDELITY.....!
kama unabisha sema kabisa NIMWAGE MBOGA HAPA JF
am counting 97..............96...................95
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…