Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Huyo mhazini wenu analijua hilo kuwa SIDANGANYIKI hata kidogo....
Mchumba, kuna mtu alitaka KUKUDANGANYA?

Sheria kuu ya infidelity inasema mainfideletaz HAWARUHUSIWI kutongoza/kudangaya WACHUMBA au WAKE za makomredi zao!

Sasa nitajie aliyetaka kukudanganya before I loose my temper!!
 
Wewe ungependa chama kisichoweka mambo yao bayana kwa wananchi? Hawaingii kwenye midahalo ili kuficha siri zao....! Napinga INFIDELITY daima. Kura kwa Slaa bana.
Wewe ni mwanachama wetu hai!

Kama unabisha NIMWAGE siri zako hapa! 96...95....94 am counting ujue.
 
Mweka hazina umerudi!!? Ajenda hakuna...nilimwachia mwenyekiti jana......
Sasa unamwachia the Pope majukumu?

Unajua yuko wapi mida hii? Ngoja niende maeneo ya mwarubaini gesti haus nikamkurupushe!
 
hehehehehe!
weee kasome rule nr 13

Sometimes rules zinalazimika kuvunjwa kwa manufaa ya chama. Konakali ni mwanachama wetu hai.....Na hii kujifanya kupingapinga, anatafuta attention ya kina Smiles, Beauty, ZD na wapinzani wengine ili atuzidi kete infidelity founders!

Na hili kwa mujibu wa kanuni halikubaliki....Hapa naongea kama mhazini mkuu wa chama!
 

Hawa kina Konakali ndo wanaitwa makada wa chama nje ya chama!
 

:becky::becky::becky:HAHAHAHA BADALA YA KUSIKITIKA IMENIBIDI NICHEKE HAHAHAHAHHAHAHAHAH:becky::becky::becky:jana sikuwa katika mood
 
Mchumba, kuna mtu alitaka KUKUDANGANYA?

Sheria kuu ya infidelity inasema mainfideletaz HAWARUHUSIWI kutongoza/kudangaya WACHUMBA au WAKE za makomredi zao!

Sasa nitajie aliyetaka kukudanganya before I loose my temper!!

Hehehehe..... I thought sheria yenu kuu inasema 'kizuri kula na infideleta mwenzio'
Mkuki kwa nguruwe eeh......
chama linavunjika.....:cheer2::cheer2:
 
Hehehehe..... I thought sheria yenu kuu inasema 'kizuri kula na infideleta mwenzio'
Mkuki kwa nguruwe eeh......
chama linavunjika.....:cheer2::cheer2:

Huyo ni mchumba bana...sio Infidelitee....haguswi na sheria hii...
 
Huyo ni mchumba bana...sio Infidelitee....haguswi na sheria hii...

Nafikiri nakumbuka kuona mazungumzo kama haya....


yaani exactly naona sasa TUPO PAMOJA!....
ngoja nikakuletee valuu za pakiti na chapati mbili ufungue kinywa!
naona una hang ova za kufa mtu

Sijui kama nimeelewa vibaya au.......
 
Wewe ni mwanachama wetu hai!

Kama unabisha NIMWAGE siri zako hapa! 96...95....94 am counting ujue.

Nabisha mimi si mwanachama wa INFIDELITY, na kamwe sitajiunga nanyi...! Kama ni kumwaga siri, mimi sina "siri". Huwa naweka mambo yangu wazi kwa sababu nakuwa na uhakika kuwa nipo sahihi siku zote...! Siibi wala simfichi mwizi, sidhulumu wala simtetei mdhulumaji, sichakachui wala siwakubali wachakachuaji, nk.
 
wee mwanachama bwana!
last tym tulipshana corrido za chelsea-gest hausi UNAKUMBUKA?
 
:A S thumbs_up:
:A S thumbs_up:
 
Hivi....hivi. hivi,

KUKOPA INARUHUSIWA KWA WANACHAMA WENU????

Namaanisha kula ugali kwa picha ya samaki (ndugu zangu wa kule Mwanga na Ugweno wanalijua vizuri hili)
 
Kwa hiyo ndio mliishia hapa?

Katibuuuu! agenda inayofuata?
 
Kwa hiyo ndio mliishia hapa?

Katibuuuu! agenda inayofuata?

Tumeishia kwenye swali hili....kama rule # 2 inasema kizuri kula na nduguyo...sasa kibaya utakula na nani? Ukizingatia infii wote ni ndugu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…