Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Oups! Nilikusahau MFADHILI WETU mkuu! Samahani usije ukakatisha misaada tafadhali!

Mshauri mkuu Fidel80 na Mwenyekiti Kaizer wamenipa mwongozo wa kutosha, Kaizer amesema nikienda msalato ameishaniandalia mazingira tayari
 
hehehe!
weee ze fainesti wewe.....
 
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa

Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:

Hivi unaruhusiwa kufanya Infidelity na wajumbe wa bodi?
 
Nafikiri unafahamu bado niko chuo namalizia mwaka wa tatu kwenye somo la INFIDELITY nashukuru mwalimu wangu ASPRIN ananipa assignment za kutosha na pia zile field alizoniandalia zimenisaidia sana

Etiii.....?
Nimewavulia kofia so far.....
I hope u wont get to get caught some day....
 
Nafikiri unafahamu bado niko chuo namalizia mwaka wa tatu kwenye somo la INFIDELITY nashukuru mwalimu wangu ASPRIN ananipa assignment za kutosha na pia zile field alizoniandalia zimenisaidia sana
Umeshasahau mwalimu wangu KAIZER alishakutunukia MASTAZ with HANAZ?
 
Ehh? ni hapo sasa tutakapo kuwa tunapishana na kiongozi mkuu.....

Unajua mi nimekubali kwa sababu nimependekezwa na mtu mkubwa sana...sina sababu nyingine ya kukubali....
Safi..........Katibu, ajenda inayofuata?

Agenda.....endeleeni ku-list hizo sheria...kazi yangu ni kuweka kumbukumbu tu! Ulizungumzia suala la sabuni.....vipi kuhusu kufanya utafiti kabla ya infidelity?? Namaanisha Infidelitee amchunguze Infidelitor na kinyume chake..
 
INFIDELITY IS THERE TO STAY....! huu msemo hauko akili mwangu kabisa mimi naipinga infidelity kwa nguvu zangu ZOTE. Na kutokana na mwanazuoni aliekomaa TEAMO (PHD (hons) ya infedelity) moja ya katiba zake ametaja lazma upige mchupa/valuer kitu ambcho bado sikwalifai.

Don King wa infedelity (ASPRIN) hata kwenye kambi pinzani hakunitaja kwa hio inaonyesha hata siku moja siwezi kuhamia chama tawala.
 
Hivi unaruhusiwa kufanya Infidelity na wajumbe wa bodi?
Mpwa unaulizia ulimi mdomoni?

Etiii.....?
Nimewavulia kofia so far.....
I hope u wont get to get caught some day....
Kuna adhabu mbalimbali tunazowapa wanachama wet. Ukifumaniwa UNASIMAMISHWA uanachama kwa miezi sita! Ni Kosa la JINAI kwa infideletaz na infideleez kufumaniwa, ukifumaniwa maana yake hujafuata katiba na SHERIA zetu, kitendo ambacho HAKIKUBALIKI kisheria.
 
Aaah Roya....umekubali kwa sababu u are one of them!
usitafute kisingizio wakati una-enjoy hapo kuwa member....
 
Mpwa unaulizia ulimi mdomoni?

Kuna adhabu mbalimbali tunazowapa wanachama wet. Ukifumaniwa UNASIMAMISHWA uanachama kwa miezi sita! Ni Kosa la JINAI kwa infideletaz na infideleez kufumaniwa, ukifumaniwa maana yake hujafuata katiba na SHERIA zetu, kitendo ambacho HAKIKUBALIKI kisheria.

Makubwa!!!
 
INFIDELITY IS THERE TO STAY....! huu msemo hauko akili mwangu kabisa mimi naipinga infidelity kwa nguvu zangu ZOTE. Na kutokana na mwanazuoni aliekomaa TEAMO (PHD (hons) ya infedelity) moja ya katiba zake ametaja lazma upige mchupa/valuer kitu ambcho bado sikwalifai.

Don King wa infedelity (ASPRIN) hata kwenye kambi pinzani hakunitaja kwa hio inaonyesha hata siku moja siwezi kuhamia chama tawala.
hehehehe!
mkuu bana unajua nilisema VALUU ni added advantage!sio lazima...
karibu kundini unajua wewe ni mwanachama uliyeasi:becky::becky::becky::becky:
 
Mshauri mkuu - Fidel

Nashauri msitumie vile visabuni vidogo Ayu/Eva maana utanukia mpaka nyumbani.
Nasisitiza tembea na sabuni yako ya kipande mfukoni maana hiyo ukisha jipiga soap soap manukato yake yanaisha mapema.
 
INFIDELITY IS THERE TO STAY....! huu msemo hauko akili mwangu kabisa mimi naipinga infidelity kwa nguvu zangu ZOTE. Na kutokana na mwanazuoni aliekomaa TEAMO (PHD (hons) ya infedelity) moja ya katiba zake ametaja lazma upige mchupa/valuer kitu ambcho bado sikwalifai.

Don King wa infedelity (ASPRIN) hata kwenye kambi pinzani hakunitaja kwa hio inaonyesha hata siku moja siwezi kuhamia chama tawala.
Halafu wewe usipojirekebisha hatutakurudisha kwenye chama!

Hivi ilikuwaje ukafanya misteki ukaondoka na andawea ya mke wa mtu?? FYI usipolipa faini tutakutoa kwenye uanachama manake wewe bado ni mwanachama asiye hai kwa mujibu wa katiba yetu.
 
hehehehe!
mkuu bana unajua nilisema VALUU ni added advantage!sio lazima...
karibu kundini unajua wewe ni mwanachama uliyeasi:becky::becky::becky::becky:

Siku mkinikamata natafuna infedelity iteni polisi....naingiaga majaribuni ila napiga moyo konde huku nikiwa na back up kubwa ya Blood of Jesus Christ.
 
Halafu wewe usipojirekebisha hatutakurudisha kwenye chama!

Hivi ilikuwaje ukafanya misteki ukaondoka na andawea ya mke wa mtu?? FYI usipolipa faini tutakutoa kwenye uanachama manake wewe bado ni mwanachama asiye hai kwa mujibu wa katiba yetu.
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
well hapa haitakiwi kuongea sana,ni kuzishusha tu kama ifuatavyo:
1-INFIDELATORS wanatakiwa kugharamia kikao cha kwanza wanapokutana na infideletees wapya kwa asilimia 100

2-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanatakiwa kufanya wanaloliweza kuhakikisha hakuna leakage ya taarifa yoyote ya INFIDELITY juu yako kwenye familia zao(hasa hasa wake/waume zao waliowaacha nyumbani)

4-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI

5-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanapaswa kuwa na umri wa watu wazima(18+.....!hii ilikuwa sababu pekee ya kumtoa georgieporjie kwenye uanachama)

6-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima wawe wanapandisha mvinyo kwa wingi (unywaji wa valuu una ''added advantage'')

7-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima awe na ''defined-marital status'',lazima awe ameoa/ameolewa (huwezi kufanya infidelity wakati wewe hujaoa-hapo unakuwa unafanya zinaa tu!...infidelity kwa ujumla wake lazima kwanza uoe/uolewe:eyebrows::eyebrows::eyebrows:!samahani kama nawakwaza hapa ndugu zangu).

8-KWAKUZINGATIA SHERIA NAMBA 7 TAJWA HAPO JUU-infidelators watakaoingia kwenye NEC ni wale waliooa/olewa tu!wengine hao wanakuwa members tu kwasababu tunawajali sana zaidi ya hapo HAWANA KURA YA VETO

9-INFIDELATORS/INFIDELETEES watahakikisha wanapigana kufa na kupona kuzilinda na kuzitetea ndoa za infidelators/infideletees wenzao!(ndoa na iheshimiwe na watu wote).naomba hii sheria muiangalie kwa umakini mkuu!hakikisha kufa kupona unafanya unaloweza kuhakikisha ndoa ya mwanachama haitetereki.

10-INFIDELITY itafanyika NYUMBA ZA KULALA WAGENI TU!....tena itafanyika kilometa kadhaa kutoka maeneo yako ya nyumbani(otherwise unatakiwa uproove kwamba mkeo/mumeo kasafiri umbali usio pungua kilometa mia saba kutoka nyumbani kwenu).

11-INFIDELITY KAMWE HAIFANYIKI USIKU KUCHA-fanya unalofanya lakini make sure umerudi nyumbani kwa waif/husband.ukilifanya hili utakuwa umeheshimu na kuitekeleza sheria namba 7 na namba 9 tajwa hapo juu

12-INFIDELITY IS THERE TO STAY....!kwanini?kwasababu infidelity ni tiba ya KANSA YA KIBOFU!hapa pana mjadala mzito kidogo ingawa hauhitaji journals!

ngoja nikimbie gesti hapo msasani nika-du ze nidiful then nitarudi!

kwa anaetaka katiba ya ''infidelity'' au kadi ya uanachama anipiemu tu......

Cheating, corruption, wars, na ufisadi wa kila aina ni matokeo ya "INFIDELITY". Nimeandika kwa rangi nyekundu kwa sababu huyu mdudu naifananisha na "SHETANI MWEKUNDU". Hakuna kirusi kinachotutafuna kama huyu....! Hata vita dhidi ya UKIMWI vimekuwa gumzo kwa sababu ya mdudu huyu; "INFIDELITY". Mimi automatically nimewekwa kwa wapinzani, na hivyo naipinga kwa nguvu zote....!
 
Nashauri msitumie vile visabuni vidogo Ayu/Eva maana utanukia mpaka nyumbani.
Nasisitiza tembea na sabuni yako ya kipande mfukoni maana hiyo ukisha jipiga soap soap manukato yake yanaisha mapema.
The Following User Says Thank You to Fidel80 For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa

Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:

duh! hao wajumbe kutoka kambi ya upinzani................hapana kwa kweli!

walikuwa wamejitayarisha kujadili kwa kutumia journals na leo tushatangaziwa kuwa hazitakiwi.................itabidi wakafanye matayarisho mengine kwanza kisha watarejea kwa majadiliano.

:confused2:
 
Back
Top Bottom