*He He He*
imekula kwako......
Dah....
hawezi kulimaliza lote kubwa sana
Anaweza kuwa mlafi huyu....:mad2:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
*He He He*
imekula kwako......
hawezi kulimaliza lote kubwa sana
Hope ulipata tikiti lako, nilimpa Asprin akuletee
Uongo sijakupa au uongo huwezi kulimaliza?huu ni uongo mkuu!
Dah....
Anaweza kuwa mlafi huyu....:mad2:
Ulivokuwa mchoyo unaweza kunipa?Uongo siajakupa au uongo huwezi kulimaliza?
huu ni uongo mkuu!
Nipe ulilonalo basi :A S 8:Uongo siajakupa au uongo huwezi kulimaliza?
Hapana SG usiwasikilize hao.....refer rule no 3.
si nimekupa upeleke kwa mkuu, kwanini nisikupe? kwani nikikupa utalewa?Ulivokuwa mchoyo unaweza kunipa?
Nipe ulilonalo basi :A S 8:
Hapa anaeaminika zaidi ni mweka hazina....!:eyebrows:
si nimekupa upeleke kwa mkuu, kwanini nisikupe? kwani nikikupa utalewa?
SIDANGANYIKI..tchaooAchana na Asprin....twende pm kama kawaida yetu..
SIDANGANYIKI..tchaoo
Ulinipa yote, i mean matunda yote?si nimekupa upeleke kwa mkuu, kwanini nisikupe? kwani nikikupa utalewa?
Kumbe hii kitu ina memba wengi! Mi sijaoa wakuu, nikija na hoja ya michango mtanichangia?
Labda kama unainfidelaiz n'ke wa n'tu utaweza kufikiriwa na chamaKumbe hii kitu ina memba wengi! Mi sijaoa wakuu, nikija na hoja ya michango mtanichangia?
najua, hilo shaka ondoa.:confused2::confused2:.....well mi si mwongo! Si unajua viongozi hawadanganyi??
Ulinipa yote, i mean matunda yote?
Labda kama unainfidelaiz n'ke wa n'tu utaweza kufikiriwa na chama