HEHEHE!Nimegundua kuna nafasi moja bado haijajazwa....MSEMAJI WA CHAMA. ngoja nimtafute mwenyekiti... Kwa hiyo tutakuwa wanne tu tunaonufaika na huu upendeleo. Tukutane Zero pub leo tukuapishe!
Lecturer kozi tunamaliza lini maana naona ajira zinaanza kuninyemelea hata kabla sijamaliza kozi
Hahahahah....
Zinakunyemelea au zinakupita...
Tehe tehe!!! nimechelewa sana kuingia humu aisee!hahaha!
AMANI KWAKO MWANAJAMII....!
kwa hiyo setifiketi uliyotunukiwa ''YA KUDEAL NA VIONGOZI TU''.....!hatimae nimeelewa ni kwanini SIJAWEKWA KWENYE PANELI YA UONGOZI!
nitapigania kufa na kupona uwe memba mwenye setifiketi za kawaida ili sheria namba tatu IMTENDEE HAKI KILA MMOJA WETU!...:becky::becky:
HEHEHE!
mimi teamo.....wa jf
naapa kwa majina yangu yote NA JINA LA MWENYEKITI (hapo nimeshika cd compact ya movie za pilau).....!
kwamba nitailinda na kuiheshimu katiba ya INFIDELITY kwa nguvu zangu zote nikiwa kama ''CHILIGATI'' wa chama hichi
MWENYEKITI NISAIDIE
Hi ukiwa katibu mwenezi ndo majukumu yako yanakuwa nini vile?
Nilikuwa sijapita hapa...nipo busy na uchaguzi!......OK, kikao cha ku-endorse katiba ni leo saa 12 jioni pale calabash. wote mnaombwa kuhudhuria.
Ha ha ha ha kuna watu wanataka kunipa ajira ila nawaambia wasubiri nikuchukue masterz yangu ndio nije nifanye kazi vizuri, halafu nakumbuka ulininyima kufanya field hamna tatizo
Maliza field....
Hapa ndo nakupendaga!!.....lazima kuwakumbusha mara kwa mara kuhusu sheria hii!REJEA SHERIA NAMBA 3
3-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI
HEHEHE!
mimi teamo.....wa jf
naapa kwa majina yangu yote NA JINA LA MWENYEKITI (hapo nimeshika cd compact ya movie za pilau).....!
kwamba nitailinda na kuiheshimu katiba ya INFIDELITY kwa nguvu zangu zote nikiwa kama ''CHILIGATI'' wa chama hichi
MWENYEKITI NISAIDIE
Hapa ndo nakupendaga!!.....lazima kuwakumbusha mara kwa mara kuhusu sheria hii!
hapa ndo nakupendaga!!.....lazima kuwakumbusha mara kwa mara kuhusu sheria hii!
HEHEHE!
mimi teamo.....wa jf
naapa kwa majina yangu yote NA JINA LA MWENYEKITI (hapo nimeshika cd compact ya movie za pilau).....!
kwamba nitailinda na kuiheshimu katiba ya INFIDELITY kwa nguvu zangu zote nikiwa kama ''CHILIGATI'' wa chama hichi
MWENYEKITI NISAIDIE
hahaha hiki kiapo naona ni kama kila cha wasio na dini kabisa ambao inabidi kuwafanyia 'utaratibu' wa kuwaaapisha...
viti maalum vya wanawake jamani mapendekezo?
1)BHThahaha hiki kiapo naona ni kama kila cha wasio na dini kabisa ambao inabidi kuwafanyia 'utaratibu' wa kuwaaapisha...
viti maalum vya wanawake jamani mapendekezo?
Ukisikia uchokozi ndio huu.... Lazima mwanajamii1 awepo kwani mie shahidi au mzee wa baraza? Babu usinikomaze nshakwambia mie bado mtoto sikwalifai kuingia humo ... HUSIKIII???Hiki kiapo wakati unakipiga lazima wale kina mwanajamii1 and co wawe karibu kwa ajili ya kukabidhiwa majukumu....
Hiki kiapo nimecheka mpaka basi... nimemkumbuka KIWEWE!
1)BHT
2)Pearl
3)JS
hawa watajifunza along the way...wawe tayari wakiingia kwenye ndoano zao.
Ukisikia uchokozi ndio huu.... Lazima mwanajamii1 awepo kwani mie shahidi au mzee wa baraza? Babu usinikomaze nshakwambia mie bado mtoto sikwalifai kuingia humo ... HUSIKIII???
Hahahaha shemeji ... All Animals are animals but some are more animals lol.. am among the less animals Sheria zao wenyewe walizoweka zinanizuia so si kosa langu shem.Mbona unastuka? Hiyo imo.
ALL ANIMALS ARE EQUAL BUT SOME ARE MORE EQUAL THAN OTHERS. Why not you?
Live clear without chengahivi unavosema ndo unamaanisha MJ1?:A S 100: